kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
kama wabunge wa ccm wenyewe wanakiri wazi kuwa 2015 uwezekano wa kushinda ni mdogo.kwa nini? Sisi wapiga kura hatutaki kuamini ukweli huu,wabunge wanaogopa kupiga kura ya kukosa imani na serikali kwa kuhofia ulaji wao,sasa kazi tunayo sisi wapiga kura 2015.tusifanye makosa tena