Kusomesha mwanamke ni sawa na kujenga nyumba barabarani. Mwanamke hasomeshwi ndugu maana hawa kobe hawabebeki jamani nakumbuka nilisoma chuo fulani na mke wa mtu tena bwana ake tunafahamiana sana lakini mwanamke kwakua alikua mzuri basi alishindwa kukwepa vishawishi mara akaanza kufyatuliwa na lecture fulani na akawa anampa favour sana,wanafunzi nao wakawa wanamfyatua kila wakienda viwanja na mwisho wa siku akapata kijana mmoja wa Sinza akamvisha Pete tayari kwa ndoa mara baada ya kumaliza masomo lakini bahati mbaya akamvimbisha tumbo mapemaa ikabidi asitishe masomo akalee kwa bwana ake na bwana ake alijua ni mimba yake kwakua sometimes alikua anakuja kukutana na mkewe kwaajili ya kutunza ndoa lakini ndio ivo ndoa ilishaingiliwa na wahuni muda mreeefu. Mwanamke amezaa mtoto wa kike yani ni copy kabisa na jamaa,Wanawake mnadhambi sana