mkuu Kiranga umeadimika sana Kule jukwaa LA intelijensiaHakuna kilicho rahisi, kuna framework, root cause, motive na explanation hapo.
Kwa nini mke wa mtu atake kuzaa na mtu asiye mume wake wakati mume wake yupo?
Hakuna wanaume wasioweza kuzalisha wake zao wanaoruhusu wake zao wazalishwe na wanaume wengine ili wao wapate watoto tu?
It is a theory. Granted that we do not have all the fact, it is not an entirely implausible theory.
Hapana ndugu yangu huyu ni mke wa mtu kabisa nilikuwa nahisi sababu kuna kipindi niliwah kuona picha zake akiwa amevaa nguo ya harusi lkn alinigomea ila leo ndio nimethinitisha kabisaHaaahaaa! Mtoa mada unazungukwa. Demu atakuwa anawapanga. Hana mume wala nini! Huo ni mchepuko wake ila kwa kuwa mligongana ndio mana kasingizia ni mumewe ili kukukamata na kukuvunja nguvu usihoji kwa nini anakusaliti! Zindukaaaaa!!!!!
Kwani mkuu kashaptisha huo muswada ?Nayeye ni mjinga atasomeshaje mwanamke ilihali wanaume wote tushakubaliana hapa


Mungu anakuoenda ndio maana umejua mapema. Amekuepusha na balaa...Habari wana jf . Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa tanzania kiukweli nimebahatika kupata maichana au tuseme demu sasa tumekutana kimwili mara kadhaa hivi ila tatizo nilikuwa sijua kama ameolewa yaani ni mke wa mtu hilo swala nimekuwa nikihisi lakini uhakika nimepata leo asubuhi hii nilipompigia simu asubuhi ya leo na kupokea Mumewe kwa kweli niliongea nae kistaarabu na baadae alipokuja mkewe ambaye ndie alikuwa demu wangu nimeongea nae nikamuuliza kwa uzuri huyo aliyepokea simu ni nani akanijibu ni mumewe na ilikuwa ngumu kudanganya kwa sababu alikuwa nae karibu . Nimeandika haya yote kwa kusudia kusema sio wote wanaotembea na wake za watu wanafahamu ila kwa kuwa leo nimefahamu kwakweli siitaji tena mazoea na huyu mwanamke kwani anaweza ponza kiungo changu chochote katika mwili wangu , cha kushangaza alikuwa anadai anataka kuzaa na mimi dah sijui yangenikuta ningejificha wapi mimi jamani ila nshafahamu basi sitaki tena mazoea nae
Habari wana jf . Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa tanzania kiukweli nimebahatika kupata maichana au tuseme demu sasa tumekutana kimwili mara kadhaa hivi ila tatizo nilikuwa sijua kama ameolewa yaani ni mke wa mtu hilo swala nimekuwa nikihisi lakini uhakika nimepata leo asubuhi hii nilipompigia simu asubuhi ya leo na kupokea Mumewe kwa kweli niliongea nae kistaarabu na baadae alipokuja mkewe ambaye ndie alikuwa demu wangu nimeongea nae nikamuuliza kwa uzuri huyo aliyepokea simu ni nani akanijibu ni mumewe na ilikuwa ngumu kudanganya kwa sababu alikuwa nae karibu . Nimeandika haya yote kwa kusudia kusema sio wote wanaotembea na wake za watu wanafahamu ila kwa kuwa leo nimefahamu kwakweli siitaji tena mazoea na huyu mwanamke kwani anaweza ponza kiungo changu chochote katika mwili wangu , cha kushangaza alikuwa anadai anataka kuzaa na mimi dah sijui yangenikuta ningejificha wapi mimi jamani ila nshafahamu basi sitaki tena mazoea nae
Huyo atakuwa amewasaliti.Nayeye ni mjinga atasomeshaje mwanamke ilihali wanaume wote tushakubaliana hapa

Ndio mkuu tulikubaliana wote humuu wanaumeKwani mkuu kashaptisha huo muswada ?![]()