Kweli hii ni bahati yangu

Kweli hii ni bahati yangu

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,078
Reaction score
1,227
Habari wana jf . Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa tanzania kiukweli nimebahatika kupata maichana au tuseme demu sasa tumekutana kimwili mara kadhaa hivi ila tatizo nilikuwa sijua kama ameolewa yaani ni mke wa mtu hilo swala nimekuwa nikihisi lakini uhakika nimepata leo asubuhi hii nilipompigia simu asubuhi ya leo na kupokea Mumewe kwa kweli niliongea nae kistaarabu na baadae alipokuja mkewe ambaye ndie alikuwa demu wangu nimeongea nae nikamuuliza kwa uzuri huyo aliyepokea simu ni nani akanijibu ni mumewe na ilikuwa ngumu kudanganya kwa sababu alikuwa nae karibu . Nimeandika haya yote kwa kusudia kusema sio wote wanaotembea na wake za watu wanafahamu ila kwa kuwa leo nimefahamu kwakweli siitaji tena mazoea na huyu mwanamke kwani anaweza ponza kiungo changu chochote katika mwili wangu , cha kushangaza alikuwa anadai anataka kuzaa na mimi dah sijui yangenikuta ningejificha wapi mimi jamani ila nshafahamu basi sitaki tena mazoea nae
 
Habari wana jf . Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa tanzania kiukweli nimebahatika kupata maichana au tuseme demu sasa tumekutana kimwili mara kadhaa hivi ila tatizo nilikuwa sijua kama ameolewa yaani ni mke wa mtu hilo swala nimekuwa nikihisi lakini uhakika nimepata leo asubuhi hii nilipompigia simu asubuhi ya leo na kupokea Mumewe kwa kweli niliongea nae kistaarabu na baadae alipokuja mkewe ambaye ndie alikuwa demu wangu nimeongea nae nikamuuliza kwa uzuri huyo aliyepokea simu ni nani akanijibu ni mumewe na ilikuwa ngumu kudanganya kwa sababu alikuwa nae karibu . Nimeandika haya yote kwa kusudia kusema sio wote wanaotembea na wake za watu wanafahamu ila kwa kuwa leo nimefahamu kwakweli siitaji tena mazoea na huyu mwanamke kwani anaweza ponza kiungo changu chochote katika mwili wangu , cha kushangaza alikuwa anadai anataka kuzaa na mimi dah sijui yangenikuta ningejificha wapi mimi jamani ila nshafahamu basi sitaki tena mazoea nae
Bahati kuokota kokwa ukazan dodo eeee ngoja nije nikumalize.
 
Habari wana jf . Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa tanzania kiukweli nimebahatika kupata maichana au tuseme demu sasa tumekutana kimwili mara kadhaa hivi ila tatizo nilikuwa sijua kama ameolewa yaani ni mke wa mtu hilo swala nimekuwa nikihisi lakini uhakika nimepata leo asubuhi hii nilipompigia simu asubuhi ya leo na kupokea Mumewe kwa kweli niliongea nae kistaarabu na baadae alipokuja mkewe ambaye ndie alikuwa demu wangu nimeongea nae nikamuuliza kwa uzuri huyo aliyepokea simu ni nani akanijibu ni mumewe na ilikuwa ngumu kudanganya kwa sababu alikuwa nae karibu . Nimeandika haya yote kwa kusudia kusema sio wote wanaotembea na wake za watu wanafahamu ila kwa kuwa leo nimefahamu kwakweli siitaji tena mazoea na huyu mwanamke kwani anaweza ponza kiungo changu chochote katika mwili wangu , cha kushangaza alikuwa anadai anataka kuzaa na mimi dah sijui yangenikuta ningejificha wapi mimi jamani ila nshafahamu basi sitaki tena mazoea nae

Hii sentensi unaonesha umeiandika kwa uchungu sanaa...
Uwe unafanya utafiti mkuu ili kuokoa kiungo chako
 
Mke wa mtu anataka uzae nae?

Kama habari ni kweli inaonekana kama mme wake ana matatizo ya kumzalisha na wanatafuta mtoto.
 
Mke wa mtu anataka uzae nae?

Kama habari ni kweli inaonekana kama mme wake ana matatizo ya kumzalisha na wanatafuta mtoto.
Aaah sio kirahisi hivyo sasa
 
Aaah sio kirahisi hivyo sasa
Hakuna kilicho rahisi, kuna framework, root cause, motive na explanation hapo.

Kwa nini mke wa mtu atake kuzaa na mtu asiye mume wake wakati mume wake yupo?

Hakuna wanaume wasioweza kuzalisha wake zao wanaoruhusu wake zao wazalishwe na wanaume wengine ili wao wapate watoto tu?

It is a theory. Granted that we do not have all the facts, it is not an entirely implausible theory.
 
Nayeye ni mjinga atasomeshaje mwanamke ilihali wanaume wote tushakubaliana hapa
Kusomesha mwanamke ni sawa na kujenga nyumba barabarani. Mwanamke hasomeshwi ndugu maana hawa kobe hawabebeki jamani nakumbuka nilisoma chuo fulani na mke wa mtu tena bwana ake tunafahamiana sana lakini mwanamke kwakua alikua mzuri basi alishindwa kukwepa vishawishi mara akaanza kufyatuliwa na lecture fulani na akawa anampa favour sana,wanafunzi nao wakawa wanamfyatua kila wakienda viwanja na mwisho wa siku akapata kijana mmoja wa Sinza akamvisha Pete tayari kwa ndoa mara baada ya kumaliza masomo lakini bahati mbaya akamvimbisha tumbo mapemaa ikabidi asitishe masomo akalee kwa bwana ake na bwana ake alijua ni mimba yake kwakua sometimes alikua anakuja kukutana na mkewe kwaajili ya kutunza ndoa lakini ndio ivo ndoa ilishaingiliwa na wahuni muda mreeefu. Mwanamke amezaa mtoto wa kike yani ni copy kabisa na jamaa,Wanawake mnadhambi sana
 
Back
Top Bottom