Kweli elimu ndiyo kila kitu

Kweli elimu ndiyo kila kitu

Polax

Senior Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
116
Reaction score
6
Kiukweli kila anayetaka kunipa kazi mpaka aniulize nina elimu gani. Mmmh! naishia kuguna tu maana hapa nimejua umuhimu wa shule basi mie nilikuwa nataka kazi za maofisini? Hapana nahitaji tu za kawaida tu za kunipa kipato angalau vipi wadau mnani saidiaje hapa?

Ushauri wenu please au kama kuna kazi labda hata ngumu ngumu ni PM

Asubuhi njema members
 
Zipo nyingi xana vp kama unazo nipe tu hata kulima kubeba mizigo utingo na weza zote
 
sure! dunia imechenji kila ajira elimu yako umeishia wapi? sasa karata za tusiosomwa hazipatikani tena! inatisha jamani tukumbuke watanzania wote ni ndugu!
 
"Elimu ndio kila kitu?!"

Vipi kwa waliosoma hadi vyuo vikuu lakini hawana kazi?

kitu cha msingi ni kumuomba Mungu akupe maarifa ya kuweza kufanya kazi yoyote halali itakayokutoa kimaisha. Kumbuka wapo wengi sana ambao wako juu kimaisha lakini shule hawakwenda.

Ushauri wangu hata kama mtu hakwenda shule asikate tamaa.:flypig:
 
If you think education is expensive try ignorance. Does it ring any bell to you?
 
Duuh vipi waungwana nashukuru sana kwa ushauli wenu ila mie nimeacha shule form 1 tu elim angu iko down sana ndiyo maana nimesema nataka kazi yeyote kama vipi call angu iyo hapo for your help 0685816103
 
Back
Top Bottom