Mpaka sasa hivi najiuliza na sipati jibu inakuwaje mywether kapigwa round zote kumi na mbili lakn atawazwe kuwa mshind na man pacquio aliyeweza kumudu na kumkimbiza mywether round zote kushindwa mpaka sasa sijajua vigezo na sababu ya kutokea hvyo.
The answer is simple
You know nothing about boxing
Nakupa chalenji just google may vc pac zitakuja web site kibao zilizokua zinafanya uchambuzi kila baada ya round
Nitafutie site unayoijua maarufu ya kuaminika iliyokwenda tofauti na majaji
Yuko live on ESPN right now. Keshaanza visingizio eti aliumia bega kabla ya fight!
Anakiri kuwa amepigwa kihalali.
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Mtakula maneno yenu leo. Mayweather ndio dume
Yuko live on ESPN right now. Keshaanza visingizio eti aliumia bega kabla ya fight!
Anakiri kuwa amepigwa kihalali.
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi Na sio boxing
Mtakula maneno yenu leo. Mayweather ndio dume
Pacquiao Yupo live ESPN right now in a press conference na kwa maneno yake mwenyewe anakiri kuwa amepigwa kihalali sasa sijui mnataka nini.
Mfilipino kazi yake ni kuchoma viazi na si boxing
Wafilipino na boxing wapi kwa wapi?
Kazi yao ni kuchoma viazi
Pacquiao akajifunze kuchoma viazi
Boxing ina wenyewe
Floyd ndio dume
48-0
Who's next? Amir Khan?