Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,875
Niko sehemu Ubungo nakula maharage na wali wangu.
Namsikiliza pembeni kijana mmoja yuko na dada mmoja sijui kamtoa wapi anamsifia mkewe mchapakazi kweli, amemwacha analinda mashamba Morogoro na sasa ameanza na ujenzi wa vyumba vya kupanga na yuko huko kwa miaka mitatu anaenda kila baada ya miezi mitatu na kukaa wiki.
Ndugu zangu hizi hali zilikuwa kwa wachaga na sasa wapogoro haya mambo kuwalaza wake zenu kwa wakwe ama mbali hivi mmeanza lini...mkizalishiwa mtauliza kweli?? Ulizeni wachaga walikoma wenyewe kila anaezaliwa anafanana na babu akaka babu mtu....
Sipendi hali hii ila nawatakia mema kwa wale wote JF mnaoishi kwa maisha haaya ya long dist
MUNGU AREHEMU NDOA ZENU
Namsikiliza pembeni kijana mmoja yuko na dada mmoja sijui kamtoa wapi anamsifia mkewe mchapakazi kweli, amemwacha analinda mashamba Morogoro na sasa ameanza na ujenzi wa vyumba vya kupanga na yuko huko kwa miaka mitatu anaenda kila baada ya miezi mitatu na kukaa wiki.
Ndugu zangu hizi hali zilikuwa kwa wachaga na sasa wapogoro haya mambo kuwalaza wake zenu kwa wakwe ama mbali hivi mmeanza lini...mkizalishiwa mtauliza kweli?? Ulizeni wachaga walikoma wenyewe kila anaezaliwa anafanana na babu akaka babu mtu....
Sipendi hali hii ila nawatakia mema kwa wale wote JF mnaoishi kwa maisha haaya ya long dist
MUNGU AREHEMU NDOA ZENU