Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,602
- 378
Huo ni utafiti tosha. (2/25)x100% = 8%. Maana yake kwamba asilimia 92 ni UKAWA na 8% tu ndo CCM. Hata mimi kwenye daladal la watu takribani 40, ni mmoja tu alikuwa anamtetea Magufuli against Lowassa. Sasa CCM watakuja na tafiti zao wanasema, Magufuli anaongoza. Thubutu, mwaka huu mi ntakufa tu, siwezi kushuhudia dhuluma nyingine.
Kama unachangia campaign za ccm wewe ni hutakiwi kulipa kodiCCM imetufanya tumekuwa watumwa katika nchi yetu wenyewe. Migodi yote wamekabidhiwa wageni na bado haichangii kama tulivokuwa tunachangia sisi pamoja na vifaa vyetu duni. Angalia wafanya biashara ndogondogo wanavyo hangaishwa lakini pia angalia mfumuko wa bei, CCM nani àtawapenda na kwa lipi?
Jamaa wako kikanda zaidi lazima wamtetee mgombea.
Kubalance story yako siku panda basi la DSM kwenda Mwanza au Mbeya au Songea ili upate na mitazamo ya watu sehemu tofauti tofauti ili uweze tengeneza hitimisho lenye kubalance.
huyu mtu sikujua km ni Masaai
Laiser Tom ww ni MZUSHI No waheed
yaani unapanda gari linaenda kwenu Arusha halafu anatudanganya walioko kwenye basi wanaichukia CCM
kwanini usipande mabasi ya Mwanza, Najmunisa, SABCO Simiyu yetu asikie wanavyomfagilia Magufuli
Hiyo ni Nchi ya Kaskazini nayo inataka itawale safari hii
si ajabu idadi yenu mpambanishwe na Mkoa wa Geita tu, tosha katika kura ya Urais
Lowasa ndiye raishuyu mtu sikujua km ni Masaai
Laiser Tom ww ni MZUSHI No waheed
yaani unapanda gari linaenda kwenu Arusha halafu anatudanganya walioko kwenye basi wanaichukia CCM
kwanini usipande mabasi ya Mwanza, Najmunisa, SABCO Simiyu yetu asikie wanavyomfagilia Magufuli
Hiyo ni Nchi ya Kaskazini nayo inataka itawale safari hii
si ajabu idadi yenu mpambanishwe na Mkoa wa Geita tu, tosha katika kura ya Urais
mkuu mie nimekuja Dar kwa fastjet Leo watu niliokuwa nimekaa nao siti za nyuma sikuona mtu anaeifagilia ccm.nakuambia wanaccm any time wataanza kupigwa mawehuyu mtu sikujua km ni Masaai
Laiser Tom ww ni MZUSHI No waheed
yaani unapanda gari linaenda kwenu Arusha halafu anatudanganya walioko kwenye basi wanaichukia CCM
kwanini usipande mabasi ya Mwanza, Najmunisa, SABCO Simiyu yetu asikie wanavyomfagilia Magufuli
Hiyo ni Nchi ya Kaskazini nayo inataka itawale safari hii
si ajabu idadi yenu mpambanishwe na Mkoa wa Geita tu, tosha katika kura ya Urais
Naichukia CCM kuliko shetani!
Naichukia CCM kuliko shetani!
Naichukia CCM kuliko shetani!
Huu ndio ukweli! Karibu!!CCM si mama yako wala ccm si baba yako kama umechoka kuzomewa hamia UKAWA
Pangia wongo wenu vizuri.Watu wawili wawe na majadiliano makali na watu zaidi ya 20.hao wawili ni makini sana