Kweli acha mpenzi uone ugumu wa kupata mwingine

Haa haaa haaa haa na ukitaka kurud ulikotoka unakuta kumeshafungwa
 
Kubali tu uwe supersub muhimu handle with care na gharamikia baada ya mda kocha akikuelewa utapewa namba ya kudumu kwny kikosi cha kwanza
 
Kweli acha kazi uone ugumu wa kupata kazi.Huu msemo nilidhani unamaanisha kazi ya kufanya tu labda,sasa nimeacha kampenzi kangu naona ugumu wa kupata mwingine.

Kila ninapogusa naambiwa labda niwe natokea benchi, na mimi napenda kuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza sasa(Yani kuwa spea tyre duuh!)
Ha Haaaa Haaaa......pole sana braza....
Kuwa mpole anza upyaaaa. Wapo wengi

Hapa mjini dar wapo wengi mnoo bidii yako tuuu
 
Hahahahahahahaha, pole sana bobuu! Asikwambie mtu kupata demu ukiwa teari una demu ni rahisi sana...
Nishajiulizaga sana kwa nini hali huwa hivyo ila nilikuja gundua kuwa mwanaume ana thamani zaidi akiwa na mwanamke na wanawake wenyewe wanapenda zaidi mchezo wa kuwania wanaume ili wapate kuexplore anachopewa mwenzao!

Kwanza, ukiwa na demu they think you have something in extra cause wanajua ulie nae hawezi kuwa nawewe bila sababu,aidha una pesa, mtalimbo wa maana au unajua lugha ya mapenzi na mbaya zaidi ulienae wawe wana urafiki nae!

Pili, utapo mu approach demu mwingine ilihali unae wa mwanzo hutatumia force kubwa ya kuonyesha unamuhitaji sana hivyo utakuwa kama unachukulia poa flani hivi maana huna pressure hata akileta pozi sio issue unaweza mvungia tu (Psychologically women don't like men who are so needy).

Ngoma inanoga aliedengua akijua kuwa unatoka na she mwenzake anajikuta kajikosesha bahati kifala kumbe ungemfaa hapo ndio atapoanza kujigonga kwako kwa mwendokasi ile akijipindua tu mapema ushawekaaa, apo ndio teari kanakuwa kademu kako kengine tena ha ha ha ha!
 
Kila mtu ana mtuwe, kubali tu kuwa wa pembeni who knows bhana waweza kuwa mbele.
 
Nani kasema kazi kupata mwingine aaaa wap tena wanawake wa sasa wanavyotaka Kuolewa au Kuzalishwaa haha acheni tuu we MTU kashazinguliwa hukoo weee Pete kavishwa na hakuolewa akijakupata Gentleman kwa nini asikung'ang'anie umzalishe au Kumuoa?
 
Kweli acha kazi uone ugumu wa kupata kazi.Huu msemo nilidhani unamaanisha kazi ya kufanya tu labda,sasa nimeacha kampenzi kangu naona ugumu wa kupata mwingine.

Kila ninapogusa naambiwa labda niwe natokea benchi, na mimi napenda kuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza sasa(Yani kuwa spea tyre duuh!)
Achaaaa udomo zegee tafiti zinaonyesha fact wapo wengi kuliko sie how comes mkuu bhana
 
Back
Top Bottom