Wakuletwa
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 134
- 9
Lipi lililo bora kufukuza mamba waliopo mtoni ndio tuogelee au kuogelea na kuwafukuza tukiwa ndani ya mto huo huo. Yes nimelazimika kusema hivyo kwa kuwa tumekubali kuingia katika uchaguzi ilhali tukijua fika kuwa katiba iliyopo haitufai na haiwezi kutupa haki nafikiri sasa tumeshapata somo la kutosha tuhangaikie mabadiriko ya katiba kuanzia sasa ili itakapofika 2015 tuwe tumefikia mahali pazuri. Ni ushauri tu wana JF
eep: