[QUOTE="cariha, poskituo231919, member:28Kwakwenyingi za hovyo hovyo sana yani MMU kulikuwaga na topic nzuri kule sikuhizi kuna topic nyingi za hovyo, yani ambazo zinachochea vitu vya ajabu kwenye mahusiano, mi my favorite jukwaa langu ni jamii intelligence kule kuna watu wanajua mambo, sana IQ zao kubwa, Jamii intelligence idumu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia thread nyingi sana unakuta 90k views ila 1k comments...nimejiuliza sipati majibu...ni kwann
[QUOTE="cariha, poskituo231919, member:28Kwakwenyingi za hovyo hovyo sana yani MMU kulikuwaga na topic nzuri kule sikuhizi kuna topic nyingi za hovyo, yani ambazo zinachochea vitu vya ajabu kwenye mahusiano, mi my favorite jukwaa langu ni jamii intelligence kule kuna watu wanajua mambo, sana IQ zao kubwa, Jamii intelligence idumu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona iko simpo sana. Kuna members wana id na wanalogin, anasoma c9mment ila hacommemt na kuna wengine sio members ila ni wasomaji. Mfano mimi nimekuwa nasoma JF toka 2016 ila nimejiunga rasmi mwaka huu.Nimefuatilia thread nyingi sana unakuta 90k views ila 1k comments...nimejiuliza sipati majibu...ni kwann
Nimefuatilia thread nyingi sana unakuta 90k views ila 1k comments...nimejiuliza sipati majibu...ni kwann
Nyuzi nyingi za hovyo hovyo sana yani MMU kulikuwaga na topic nzuri kule sikuhizi kuna topic nyingi za hovyo, yani ambazo zinachochea vitu vya ajabu kwenye mahusiano, mi my favorite jukwaa langu ni jamii intelligence kule kuna watu wanajua mambo, sana IQ zao kubwa, Jamii intelligence idumu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawafahamu watu wasiojulikana ?Nimefuatilia thread nyingi sana unakuta 90k views ila 1k comments...nimejiuliza sipati majibu...ni kwann