dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,675
nimecheka kishenziWapo milioni moja na wana marais wawili.
nimecheka kishenziWapo milioni moja na wana marais wawili.
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Sasa hivi mnaye Mzenji Bibi Tozo na Nyerere hayupo. Vunjeni muungano.Mlaumu Nyerere mnayemuabudu kwa huu muungano feki
Mimi niko Rombo. Kila siku umeme unakata alfajiri unarudi saa 12 jioni.Kwenye maeneo ambayo matumizi ya umeme sio makubwa, mgao unakuwa sio mkubwa sana au hakuna kabisa!Kasheshe ni kwa wakazi wa Dar, Mwanza na Arusha naona wiki hii wamekazia kabisa!unakatwa asubuhi unarudishwa saa 1 kisha kesho yake wanakuachia mchana wanaukata usiku.
Makamu mwenyewe hana uzoefu wa kisiasa na sio machachari na mjenga hoja.Zanzibar wana marais wawili na makamu wa rais wawili, jumla wanne!
Tanganyika hawana rais ila wanaye makamu wa rais moja, jumla moja!
Hapa nipo gizani sasa hivi...Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Tofauti na sisi tulivyo na uhitaji wa umeme wao umeme kutwa ni kutengenezea juisi ya miwa.Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.