Kwenye maeneo ambayo matumizi ya umeme sio makubwa, mgao unakuwa sio mkubwa sana au hakuna kabisa!Kasheshe ni kwa wakazi wa Dar, Mwanza na Arusha naona wiki hii wamekazia kabisa!unakatwa asubuhi unarudishwa saa 1 kisha kesho yake wanakuachia mchana wanaukata usiku.Nafikil hujafanya unafanya uchunguzi ata mtwara umeme haukati ovyo,tusitumie kisiasa
Mambo mengine machungu kuyajadili. Bora tu kuacha.Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Zanzibar wana vitambulisho vyao vya uraia,Umeme wenyewe unatokea Tanganyika [emoji849]
Hayo ni maelekezo kutoka juu kuwa umeme usikatwe zenji ingewezekana angesema nyumba za waumin zisikatiwe umemeNipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Zenj mbali, nenda ofisi za wizara, mikoa, kama Wana mgao, zipo line maalum hawajui mgao ni nn!!Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Mtwara wanatumia umeme wa gesi unaozalishwa huko wa Artumas, zanzibar wanazalisha umeme upi?Nafikil hujafanya unafanya uchunguzi ata mtwara umeme haukati ovyo,tusitumie kisiasa
Umeme wao unapita chini ya bahari ambako kuna maji mengi, simple.Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Zanzibar ni nchi ya kigeniNipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Labda zihoji nyaya zinazopita Tegeta kwa Ndevu kuelekea bahari ya hindi ili zieleze kwanini zenyewe hazipewi mgawo wa 'kani tembezi umeme'Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Kwa hiyo sisi hatuna mkuu?[emoji28]Wana Rais
Zanzibar wana marais wawili na makamu wa rais wawili, jumla wanne!Wapo milioni moja na wana marais wawili.