Kwanini yanga haifungwi

Kwanini yanga haifungwi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,204
Reaction score
58,614
Kwenye mpira kuna matokeo matatu kushinda kushindwa na kutoa sare.cha ajabu yangs sikumbuki mara ya mwisho imefungwa lini tokea mwaka huu uanze nahisi kama imefungwa mara mbili tu au tatu..mwenye kujua yanga imefungwa mara ngapi aniambie maana nataka nimuotee mechi zijazo nimuue niweke stake kubwa sana mechi moja tu
 
Akiwa anacheza na wakubwa wenzake kama wakina Al ahly, mamelond wewe uaaaaa🤣😂
 
Kwenye mpira kuna matokeo matatu kushinda kushindwa na kutoa sare.cha ajabu yangs sikumbuki mara ya mwisho imefungwa lini tokea mwaka huu uanze nahisi kama imefungwa mara mbili tu au tatu..mwenye kujua yanga imefungwa mara ngapi aniambie maana nataka nimuotee mechi zijazo nimuue niweke stake kubwa sana mechi moja tu
Aisee ndege JOHN kwanza kabisa unakunywa beer gani?Uko Lindi au umerudi Dar?
Umeongea ukweli usiopingika. YANGA IKO JUU HADI NAOGOPA.
Inabidi tuwaalike wapinzani wetu wa kweli Arsenal ya uingereza tuwaonyeshe watanzania mpira unavyochezwa.
Kwa Sasa Tanzania hatuna mpinzani.
 
Back
Top Bottom