Ni kushauri Kitu Kaka!!!Usiamini na kamwe Acha kabisa kuamini maneno ya wanasiasa Haswa hawa wa kwetu hapa utaumiza ndonga bure huwa hawapo siriazi kabisaa na matamshi ya matamko Yao na kamwe usitegemee ya kwamba kuna siku wanakuwa siriazi fanya yako hao wanayafanya Yao Kwa faida zao na maslahi Yao zaidi,, jitahidi uwaelewe au fanya uchunguzi wa kina naamini utawaelewa na naamini pia utaacha na hutawazingatia kamwe na rudia tena kamwe