DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,328
Hayo maFokker na ww ndio unaita ni ndege. Kampuni yenyewe ya Fokker ilishakufa mwaka 1996. Ww ndio mjinga kabisaa. Kumaintain hayo madude sasa hivi ni gharama mnoo. Kwa ufupi HAZITUMIKI!!!wacha ujinga wewe unataka kumaanisha ati ndege za serikali (TGFA) hazitumiki? Hivi inapita wiki bila government official kusafiri nchini?