Mwaka mmoja uliopita
Sasa anatumi za kukodisha
Ambazo gharama ni kubwa na ukizingatia tuna ndege za serikali na marubani wa serikali kwa ajili ya usafiri wa viongozi!
ATCL haijawahi kufufuka ila ndio unazidi kufa kila siku.
Mwaka mmoja uliopita
Sasa anatumi za kukodisha
Ambazo gharama ni kubwa na ukizingatia tuna ndege za serikali na marubani wa serikali kwa ajili ya usafiri wa viongozi!
Na kunuku, my take na kwashilisha ni chama cha madudu.Ila jina la "malofa" liendelee kumilikiwa na CCM.
Magufuli hakuwa mzuri kwa Kila kitu,ila kwa uongozi wake, TANZANIA 🇹🇿 ya 'kesho' ilikuwa inaonekana, yaani alikuwa anahutubia Kama vile anaongea na mtu wa kawaida yaani alikuwa anagusa maisha ya mtanzania ya Kila siku,Sasa hivi hata kinachoongelewa hakieleweki,vitu vimepanda Sana! Tozo kwenye simu,benki n.k. nina hasira Sana😠😠Mkuu uko km mm sitaki presha ya moyo maana hata wanachoongea wao hawakiamini mm ni mbishi ila ilifika mahara mh rais mwendazake akihutubia nilikua nakaaa natulia kumsikiliza ila hawa twende nao tu ...
Mkuu,angalia hata kwenye swala la madini, tulikuwa tunapata 'updates' walau Mara moja moja,Sasa Hivi hata waziri wa madini nimemsahau jina sura! There is something fishy going on.😠😠Asee wew hunizidi mimi yani hata sijui kwanini Mungu katuachaniza
Unamzungumzia JPM yupi wewe?! Kama unamaanisha huyu Mwendakuzimu umebugi; hakuna mtu ameishi kwa kuharibu maisha yake mwenyewe na maisha ya wananchi wenzie kama huyo! Tema mbali Sana!JPM alikuwa na mapungufu kibao, ila kwenye upuuzi kama huo kamwe asingekubali!.
Weka ushahidi kwa upupu wako huo😠Unamzungumzia JPM yupi wewe?! Kama unamaanisha huyu Mwendakuzimu umebugi; hakuna mtu ameishi kwa kuharibu maisha yake mwenyewe na maisha ya wananchi wenzie kama huyo! Tema mbali Sana!
Wamachinga wa ndege wanazo leseni za biashara kwa ajili ya kukodisha ndege, biashara ya kukodisha ndege ni ngumu hasa Dar ambako zipo ndege kubwa nyingi. Serikali ndiyo tegemeo lao kubwa kwenye kukodi, sasa endapo serikali itatumia ndege zake (GFA) hawa wamachinga wa ndege (charter planes) hawatakuwa na wateja wa kukodi, kutokana na hilo wanasuka mambo ili viongozi wasitumie GFA wakodi zao, sawa na wale waliokuwa wanafanya semina nyeti za kiserikali kwenye hoteli za kitalii badala ya kutumia kumbi za serikali!kwahiyo? kwani shughuli za serikali ni za kibiashara? Hao wamachinga leseni yao inasomaje?