GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,550
- 108,882
Hii kitu nimeiona sana nchini Uganda, Zambia, Rwanda na hata Afrika ya Kusini ( japo sina uhakika na sijajua kama Tanzania pia ipo kwakuwa sikai sana huko ) kwamba wale Wazazi ambao ni Majasusi / Mashushu / Wana Usalama / Manjagu wakubwa sana huwa si tu hawapendi bali hawataki kabisa Watoto wao kuja kuifanya hiyo Kazi.
Je mnadhani ni kwanini hawa Wazazi hufanya hivi hasa kwa Watoto zao? Ni sababu gani Kubwa ambayo huwafanya wawazuie Watoto wao kabisa wa Kuwazaa nao kuja kuwa Majasusi kama wao? Na kwanini huwa wapo tayari kuwaingiza Watoto wa wengine au Ndugu zao ila siyo Watoto zao?
Nawasilisha.
Je mnadhani ni kwanini hawa Wazazi hufanya hivi hasa kwa Watoto zao? Ni sababu gani Kubwa ambayo huwafanya wawazuie Watoto wao kabisa wa Kuwazaa nao kuja kuwa Majasusi kama wao? Na kwanini huwa wapo tayari kuwaingiza Watoto wa wengine au Ndugu zao ila siyo Watoto zao?
Nawasilisha.