Kwanini watu wembamba huwa na akili kubwa kuliko wale wanene?

Tomito Tomato

Senior Member
Feb 11, 2017
167
444
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.

Je hali hii hutokana na nini?
 
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.

Je hali hii hutokana na nini?
Kautafiti kako kamekudanganya, kwann hukutafuta jibu huko huko unafikiri huku ndo kwenye watoto wenzio?
 
Kautafiti kangu kadogo tu kamefanya niweze kugundua kuwa Binadamu wembamba huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wale wenzao wanene.

Je hali hii hutokana na nini?
mkuu utafiti wako una walakini kidogo

Watu wanene wana lipids nyingi ambazo zinasaidia kutengeneza myelin sheath

Hivyo basi taarifa (nerve impulses)zinakuwa zinapita kwa ku jump kwenye nodes of ranvier na kupelekea taarifa kufika haraka kwenye ubongo hivyo basi hata feedback inakuwa pia ni haraka na pia uwezo wa kufikiri kwa haraka na kutenda pia huwa ni haraka

Kwa watu wembamba zile nerve impulses zina move smoothly hivyo hupelekea taarifa kuchelewa kufika kwenye ubongo
Haya sasa mm nimetumia biology ku defend point yangu na wewe tetea yako kwa kutoa facts tuone
 
9f9e881c0e3dea23f7cafa39e1e64d6c.jpg
broo think twice,edit and repost it again
 
Back
Top Bottom