Focus120
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 1,094
- 804
Habari wadau,
Naomba niulize, hivi kwanini watu wakimya, au wengine hutumia lugha " wapole" wanakuwa regarded kama "silent killers".Juzi nilikuwa kijiweni, kuna kijana mmoja ambae ukweli ni mstaarabu kwakuwa kwa kiwango chake heshima anayo, pia sio mtu wa totoz kama vijana wengi hapa mtaani, cha ajabu mmoja wetu akasema wapole wote ni ma silent killers especially yeye.
Basi hapo nikabaki najiuliza hivi kwanini watu wapole au wakimya hutafsiriwa kama silent killers.
Silent killers - watu waovu wanaofanya mambo yao kwa kificho.
Naombeni tujadili jamani.
Naomba niulize, hivi kwanini watu wakimya, au wengine hutumia lugha " wapole" wanakuwa regarded kama "silent killers".Juzi nilikuwa kijiweni, kuna kijana mmoja ambae ukweli ni mstaarabu kwakuwa kwa kiwango chake heshima anayo, pia sio mtu wa totoz kama vijana wengi hapa mtaani, cha ajabu mmoja wetu akasema wapole wote ni ma silent killers especially yeye.
Basi hapo nikabaki najiuliza hivi kwanini watu wapole au wakimya hutafsiriwa kama silent killers.
Silent killers - watu waovu wanaofanya mambo yao kwa kificho.
Naombeni tujadili jamani.