Kwanini watu wananiogopa sana?

ilitakiwa usubili kama na mimi au Heche tukukuogopa ndo ufungue uzi,
Mimi kitu pekee nachokiogopa ni uoga wenyewe iwe Zilla The G hakika sitaweza kukuogopa.
 
Superiority complex.
 
- mkimya sana

- sichangamani na watu.

-napenda kukaa mwenyewe.

-napenda kusoma vitabu, kuangalia movie, na kusikiliza music.

Sent using Jamii Forums mobile app
basi kama ni kweli hizo ndio tabia zako na hayo ndio matokeo ya tabia ulizonazo.. kuna kundi la watu hawa wacheshi,wapenda sifa,waongeaji,wambea,wanapenda matani,wanafahamika mtaa mzima n.k
Tafuta mtu mmoja wa dizaini hiyo awe rafiki yako huyu atakufanya uwe social na utapata marafiki wengi lkn Tafuta mtu wa makamu yako kidogo hekima iwe kichwani mwake maana kidogo watu wa namna hiyo kama hajielewi atakukasirisha utakuwa gazeti lake la kuwapasha wengine habari.. ama tafuta watu dizaini yako mjadili vitabu n.k lkn kama unataka kuwa social lzm ujihadhari sana.. natumai unauwezo mpana wa akili basi utumie unahitaji taarifa nyingi za kwenye jamii yako ili uwe social na sifa za watu hao ndo watakusaidia hayo.
but you can't change the way your are..
Mkuu cha kukufurahisha ni kutokana na hizo tabia zako kuna aina ya wanawake ukikutana nao watakuendesha😆😆 hicho ni kidokezo tu.
 
Asante boss!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wewe tuu mkuu...ila mim hawaniogop wanajetaid kuwa na urafiki namim ila mi sipo social..napenda sana kuwa pekeangu som tym na marafik 2 au 1 ...ila napenda sana bar.nikisha lewa then apo nadandia kila kiumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
una kitu ndani yako kinaitwa negative energy inayopelekea utoe negative vibes.

sijui nianzie wapi kukufafanulia ila ingia google tafuta positive vibes, positive energy, google nenda wikihow tafuta how to be liked by other people, how to emit positive vibes, uliza positive energy, uliza what is positive vibrations etc, kuna mengi sana utajifunza unaweza hata ukawa addicted ukawa kila ukiingia googlr unasearch ishu hizo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuta wewe ni mzimu sema hujui tu
 
Weka picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha masihara bwana Humphrey Polepole. Bado hujajua sababu?

- KANA -
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…