Kwanini watu wananiogopa sana?

Kwa sababu Tigo imeoza
 
ongeza pesa,pesa inaleta wanafiki wote wa dunia hii,,hata mimi nikiwa kijana niliyewahi kupata fursa nikiwa mzee enzi hizo mr.blue anatamba nilishangaa binti mmoja mdogo akinifananisha na MR.blue hahhhhha sijui yuko wapi leo.?
 
Hata marehemu huambiwa mwema wakati yeye alikua mbaya,,,so kuambiwa wewe ni Handsome sio tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfukoni vipi ni chenji chenji au inatosha kubadilisha mboga? Yawezekana unazitumia kuintimidate wengine. Nijuavyo from experience mlala hoi yeyote hata kama ana sura ngumu hawezi kuzua hofu ya kiwango unachoelezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu haogopwi kwa mwonekano pekee. Huo ni uwongo, meaning you're delusional. Matendo ndiyo humfanya mtu aogopwe. Au pengine inawezekana tafsiri yako ya neno kuogopwa siyo sahihi.
 
Mbona Mimi nimegraduate mwaka Jana chuo na sasa hivi niko nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa tu nchini.

Muombe Munge atakusaidia, usichague kazi, jichanganye na watu, kuwa mmnyenyekevu kwa watu muda huu ambao unatafuta ugali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanapo kuangalia hawakuoni wewe Mkuu wanaona aliye ndani yako hongera sana kama kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…