Kwanini watu hawazamii au kuloea nchini India

Kwanini watu hawazamii au kuloea nchini India

carlkate

Member
Joined
Oct 8, 2018
Posts
32
Reaction score
31
Salaam JF
Naomba kuuliza Kwanini ni nadra sana kusikia watu wanaloea au kutaka Kuzamia nchini India tofauti na nchi kama South Africa au barani Ulaya?
Kama issue ni ubaguzi mbona nchi kama Hispania na nyingine za Ulaya ubaguzi upo?
Mbona watu wana fanya biashara China na si nchi hii ambayo inamuingiliano mkubwa sehemu nyingi za Africa?
 
Salaam JF
Naomba kuuliza Kwanini ni nadra sana kusikia watu wanaloea au kutaka Kuzamia nchini India tofauti na nchi kama South Africa au barani Ulaya?
Kama issue ni ubaguzi mbona nchi kama Hispania na nyingine za Ulaya ubaguzi upo?
Mbona watu wana fanya biashara China na si nchi hii ambayo inamuingiliano mkubwa sehemu nyingi za Africa?
Njaa kali kule.
Na population yao sio mchezo.
 
watu wamekaririshwa kuwa Wahindi ni wabaguzi hivy kuogopa kwenda uko.
Pia uchumi wa India unawatosha wahindi wenyewe sababu wapo wengi,sio kama uchumi wa china ambao una outfit population yao.
There are no friendly people like INDIANS
LIVE LONG BHAHARAT
mera naam Khan hain
 
Usiwaone wahindi wanatesa sana hapa kwetu. Kwao ni balaa.... maisha magumu, wamejazana, masikini ni wengiiiiii. Tanzania tuko vizuri sana tuna kila kitu.... basi si kuna mambo madogo madogo hayajakaa sawa!
 
Nchi ina watu Bilioni 1.5

Wahindi kibao wanakimbilia mashariki ya kati kuzamia kutafuta kazi..wanatumikishwa uarabuni


Watu billion 1.5 halafu uende nchi hio kutafuta maisha kweli wakati watu wa huko wanakimbia kwao kutafuta fursa kwingine? Fursa zimezidiwa na idadi ya watu
 
watu wamekaririshwa kuwa Wahindi ni wabaguzi hivy kuogopa kwenda uko.
Pia uchumi wa India unawatosha wahindi wenyewe sababu wapo wengi,sio kama uchumi wa china ambao una outfit population yao.
There are no friendly people like INDIANS
LIVE LONG BHAHARAT
mera naam Khan hain

Nadhani sio kukaririshwa kwamba ni wabaguzi, Ni kweli wahindi niwabaguzi, tena big time. Sorry to say that. Lakini napenda wanavyokuwa karibu kifamilia.
 
watu wamekaririshwa kuwa Wahindi ni wabaguzi hivy kuogopa kwenda uko.
Pia uchumi wa India unawatosha wahindi wenyewe sababu wapo wengi,sio kama uchumi wa china ambao una outfit population yao.
There are no friendly people like INDIANS
LIVE LONG BHAHARAT
mera naam Khan hain
Ni wabaguzi wakutupwa, wao kwa wao wanabaguana hata kwenye biashara wanabaguana ni wao walio na kundi la untouchable hawa hawaruhusiwi kuona au kuolewa na wastaarabu, hapa ukizaa na mhindi watamtenga hata maiti yake wataitenga! Hapa waswahili wapi kila eneo ukimuona mhindi uswazi ujue kuna dili na mswahili, mkaribishe na familia yake aje kwako ng'o! Haji atatoa visingizio vya kila aina.
 
Nchi ina watu Bilioni 1.5

Wahindi kibao wanakimbilia mashariki ya kati kuzamia kutafuta kazi..wanatumikishwa uarabuni


Watu billion 1.5 halafu uende nchi hio kutafuta maisha kweli wakati watu wa huko wanakimbia kwao kutafuta fursa kwingine? Fursa zimezidiwa na idadi ya watu
India 1.3b
China 1.4b

Ila ni wengi sana!
 
Back
Top Bottom