Salaam JF
Naomba kuuliza Kwanini ni nadra sana kusikia watu wanaloea au kutaka Kuzamia nchini India tofauti na nchi kama South Africa au barani Ulaya?
Kama issue ni ubaguzi mbona nchi kama Hispania na nyingine za Ulaya ubaguzi upo?
Mbona watu wana fanya biashara China na si nchi hii ambayo inamuingiliano mkubwa sehemu nyingi za Africa?
Naomba kuuliza Kwanini ni nadra sana kusikia watu wanaloea au kutaka Kuzamia nchini India tofauti na nchi kama South Africa au barani Ulaya?
Kama issue ni ubaguzi mbona nchi kama Hispania na nyingine za Ulaya ubaguzi upo?
Mbona watu wana fanya biashara China na si nchi hii ambayo inamuingiliano mkubwa sehemu nyingi za Africa?