KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.