Mastabenja
Member
- Mar 23, 2012
- 25
- 6
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda utumbuizaji wa wasanii wetu stejini hasa wa bongo fleva na kwaya.kwa kweli wanaboa sana na kutia kinyaa _kinachofanyika ni ***** mtupu
1.wengi hawawezi kuimba live.diamond,rose muhando,jay,suma lee wote wachovu hawawezi kuimba live huishia kufanya maigizo tu .hii ni tofauti sana na wasanii wa nje na wasanii wa miaka ya nyuma
2.wengi hawaimbii huishia kuchezacheza na kusema piga kelele-yaani ***** mtupu
hii nitofauti sana na wasanii wa nje wao utaona wanaimba live kwa uwezo wa hali ya juu sana mpaka mtu unafurahia kuangalia
1.wengi hawawezi kuimba live.diamond,rose muhando,jay,suma lee wote wachovu hawawezi kuimba live huishia kufanya maigizo tu .hii ni tofauti sana na wasanii wa nje na wasanii wa miaka ya nyuma
2.wengi hawaimbii huishia kuchezacheza na kusema piga kelele-yaani ***** mtupu
hii nitofauti sana na wasanii wa nje wao utaona wanaimba live kwa uwezo wa hali ya juu sana mpaka mtu unafurahia kuangalia