Kwanini wanawake wengine wazuri na wengine ni wabaya?

Kwanini wanawake wengine wazuri na wengine ni wabaya?

uzuri wa mke au msichana ni engine na tabia yake ,vingine ziada tu na ujue wazuri wengi wametumika sana wameona vingi we ni kama wa 987 wengi wameshapita kwa hao,mark my word,,,wasichana wengi wazuri si wa kuoa ni kupta na kuondoka jiulize kwa nn lucifer aliasi kule mbinguni hvy ni kizazi kile tu ,ukitaka maisha yako yawe ya msongo hadi kufa oa mke mzuri na wa kutamanisha.
Sasa hao wazuri wataolewa na nani?? Kila mtu aoe/kuolewa na amtakaye bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwanamke mbaya katika hii dunia kama unaangalia sura ni ujinga wako
 
Back
Top Bottom