Kwanini wanawake wengine wazuri na wengine ni wabaya?

Kwanini wanawake wengine wazuri na wengine ni wabaya?

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,632
Kuna mitaa ukipita unaweza ukajikwaa kwa kugeuza shingo

1544193000082.png
 
Beauty ni namna unavyo Perceive kitu,jinsi ulivyokuwa condition kuona kitu kubaya au kizuri tangia ukiwa mdogo ,sometimes beauty ni openion tu watu wanachangana beauty na comparison..kwa iyo hamna kitu kizuri au kibaya bali ni opinion za watu...mfano mtu anaposema mwanamke flan ni mzuri..kichwani kwake huwa ana standard anazofikili ndio zina wakilisha uzuri..au hatakuwa na reference ya sura aliyowahi kuiona hapo awali..kwa moment iliyopo anakuwa kama ana react kitu cha past
 
Kuna mitaa ukipita unaweza ukajikwaa kwa kugeuza shingo

View attachment 959317
uzuri wa mke au msichana ni engine na tabia yake ,vingine ziada tu na ujue wazuri wengi wametumika sana wameona vingi we ni kama wa 987 wengi wameshapita kwa hao,mark my word,,,wasichana wengi wazuri si wa kuoa ni kupta na kuondoka jiulize kwa nn lucifer aliasi kule mbinguni hvy ni kizazi kile tu ,ukitaka maisha yako yawe ya msongo hadi kufa oa mke mzuri na wa kutamanisha.
 
Sijawahi kubahatika kukutana na mwanamke mbaya, kuna wakat naomb walau nkutane na mmoja hata nimuone tu akipita ila bado sijabahatika, labda mmoja mbaya ajitokeze plz nimuone japo mara moja mana kote nilikopita au kuishi sijawah kuona
 
Trust me, Hakuna mwanamke mbaya, wanawake wote ni wazuri sema hujakutana na type yako, unemuona mbaya, I tell you mchukue mueke ndan muhudumie kila Kitu, kama atakua mbaya, Zaid atapigiwa misele
 
Back
Top Bottom