Umejuaje?Pia kila mwanamke utakayemuona barabarani, ofisini nyumba hata za ibada wote hao wanamahusiano nje ya mahusiano waliyonayo!
Iko naturally, women are wired to be nurtured. It's all hypergamy na hypergamy iko since enzi za mababu, wanawake wanatafuta wanaume bora ndo maana wanaflirt anywhere kuanzia social media's, so mwanaume lazima ajitahidi kupandisha value yake kwa kuchase purpose yake maana hayuko Peke yake, mmepangana kama sururu.Umejuaje?
Ndo mnavojumuisha mambo mnaanza kidogo kama hivyo halafu mnakuja kusema ke wote ni malaya, ke wote walioajiriwa wanachepuka, ke walimu hawachepuki🤣
kasema ke wote wana mahusiano ya ziada, nataka nijue kathibitisha vipi?Iko naturally, women are wired to be nurtured. It's all hypergamy na hypergamy iko since enzi za mababu, wanawake wanatafuta wanaume bora ndo maana wanaflirt anywhere kuanzia social media's, so mwanaume lazima ajitahidi kupandisha value yake kwa kuchase purpose yake maana hayuko Peke yake, mmepangana kama sururu.
Kiasili ke wote kuwa na mahusiano ya ziada inategemeana na mahusiano aliyokuwa nayo.kasema ke wote wana mahusiano ya ziada, nataka nijue kathibitisha vipi?
yaani wote
Mkuu hali si shwari hata kidogo, nipo early 30s ila sijampata mwanamke anaefaa kua mke. Hii imenifanya kila siku napoenda kazini nipatapo muda lazima nichombeze wasichana tofauti tofauti nikiamini ipo siku nitampata mwenye uafadhali kuliko wote. Enewei tusikate tamaa tuzidi kupambana, ila ule wimbo wa akina Marehemu Ngurumo na Tx Moshi (Ukizaliwa mwanaume kila kitu kwako itakua ni tabu) hawakukosea hata kidogo.
Nimekuwa nikiwa katika mahusiano na risk tofauti lakini hakuna aliyekuwa afadhali!
Wanaamini wao ni wakuhudumiwa yeah ni wakuhudumiwa ila sasa wamezidi kutoka katika kuhudumiwa na kufanya fursa!
Pia kila mwanamke utakayemuona barabarani, ofisini nyumba hata za ibada wote hao wanamahusiano nje ya mahusiano waliyonayo! Very crazy thing!
Je, ni Hali mbaya ya uchumi au ni utandawazi maana hakuna anayejutia kuwa na mahusiano juu ya mahusiano! Na hata wale ambao ni decent wote lugha yao moja!
Maisha ya naenda Kasi sana ni wakati wakumrudia Mumba Hali siyo!
Yaani nakula za uso mpaka najihurumia, sio kwamba nakataliwa ila nakutana na zile types za pesa mbele nyuma mwiko. Uzuri mi sio mtu wa kukata tamaa.Unakutana na Mapaka Shume tu?
Wanakuuzia uchi?Yaani nakula za uso mpaka najihurumia, sio kwamba nakataliwa ila nakutana na zile types za pesa mbele nyuma mwiko. Uzuri mi sio mtu wa kukata tamaa.
Najitahidi sana kuwaepuka, changamoto ni kwamba siwezi oa mwanamke si mzuri kwa sura na asilimia kubwa wanawake wazuri ni slay queens, shida ndo ipo apo.Achana na slay queens
Wanauza uchi?Kwasababu wanaamini nyuchi zao ni vitega uchumi.
Na asilimia kubwa slay queen anataka maokoto yako yote, tafuta wabaya wabaya umalize hamu zakoNajitahidi sana kuwaepuka, changamoto ni kwamba siwezi oa mwanamke si mzuri kwa sura na asilimia kubwa wanawake wazuri ni slay queens, shida ndo ipo apo.
Hilo ni jibu na sio swali.Wanauza uchi?