Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Kwanini wanawake wanene wanakua rahisi kutongozeka?

Kitoabu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
11,080
Reaction score
12,319
Sijui ni kwaupande wangu tu, au ni kawaida. Katika uzoefu wangu wa kutongoza, nimegundua kua wanawake wanene nikama wanangoja tu waambiwe nawao wakubali.

Hiikitu ni tofauti kabisa kwa wanawake we mbamba (model). Sasa tatizo ni nini? Kutojiamini au wamekua hawatongozwi mara kwa mara.

Huenda ni malaya kiasili au wanajiona hawavutii machoni pa wengine, hivyo kuana nibora wakubali mapema ili jamaa asije akaghairi.

Nimekua nikijiuliza bila kupata jibu sahihi.Nimeamua kulileta hapa mezani huenda wenyewe wakapita hapa na kulitolea ufafanuzi.

Natanguliza shukrani

 
Mkeo ni mwembamba ama bonge samahani lkn????
 
wewe umewatongoza wangapi ?
 
Ni wewe tu, ila wanawake woote ni warahisi. Research ndogo tu kukupinga, nenda kwa sex workers harafu angalia wanene wapo wangapi na wembamba wapo wangapi. Wengi wanaojiuza ni wembamba. Chezesha akili kidogo kabla ya kusema.
 
Mbona maxwali mengi kuliko majibu labda n kwel ila ngoja nianze uchunguz (iv n kwel huwa mnajirahicxha)
 
Mie ni mwanamke mnene, nimeolewa, na si mrahisi kama unavyo sema, niko mwaka wa tano kwenye ndoa na nina miaka thelathini tuu(usije dhani kuwa mi ni kizee). Na sijawahi kuwa na mchepuko japo wapo wanifuatao
 
Imekaa vibaya kwa wanawake wanene, vipi kwa upande wa wanaume wanaokubaliwa sana na hao wanene?
 
Back
Top Bottom