Kwanini wanawake wanatofautiana sana ladha?

Kwanini wanawake wanatofautiana sana ladha?

Sijui sababu ila Hujui pia wanaume mna ladha tofauti
 
Kila mwanamke/mwanamme ana patina wake, na tatizo letu wengi hatuwezi kuchagua mapatina, kuna elimu ndogo sana ambayo ilipaswa kila mtu afundishwe jinsi ya kumjua patina wake kwa kumuangalia tu bila hata ya kulalanae ( unaweza kumu analyse patina wako kwa muonekano wake maana kila kitu kipo exposed na muonekano wake)

Kuna siku nitaandika kuhusu hili jambo (kumtambua aina ya mpenzi kwa kumuangalia bila ya kumgusa) tatizo bado sijapata heading yake.
 
Muhudumu naomba coca bardiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! some lemon pliz!
 
Sema kwanza ipi ilikuwa kavu na ipi ilikuwa laini na hata swala la ukubwa na udogo uweke wazi kwanza ndio utasaidiwa
 
Mmmh kuna ambao hawana ladha wengine wanawaona wana ladhaa,
 
Mh! Wewe siyo rweyemamu uliyepata ban jana na umekuja kivingine!
 
kawaida sana kuna vibamia na midushe pia so usijali wala nini :mvutaji:
 
mbona nanyie wanaume vipo vibamia, vimsumari,vindizi,vimiogo,tango ila sasa itategemea na ulikoenda utafit?

umesema kweli wao kuponda wanawake tu wakati wana vibamia mtu atakuwaje na maji kwani ye bomba
 
Atc imeongeza ndege kubwa na kisasa kutoka marekani boeng 323. Inabeba watu 235 ongera atc kazi kubwa kweli
 
Back
Top Bottom