Kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume?

Kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume?

Kwa sababu wanaume hatuliziki na papuchi moja. Ndo maana Kenya wamepitisha (mwaka jana) Sheria ya kuruhusu kuoa wake wengi kwa kadri ya utashi wa mwanaume.
Kweli papuchi moja haitoshi kabisa
 
Wanawake ni wengi ndio maana tunamiliki madem wengi ili nao wapate mautamu sbb majogoo tuko wengi hata mfalme Suleiman alikua na mitetea ya kutosha!
 
Ndo mana kuna baadhi ya dini kuliona hilo wakaruhusu kuoa mke zaid ya mmoja ili ku cover space.
 
Pia wanawake ni wengi sana kuliko wanaume kwa sababu wanaume ndo wanaoongoza kwa vifo kwa sababu ya kufanya kazi ktk mazingira ya hatari km migodini, uvuvi, vitani, uwindaji nk lkn wanawake walio walio wengi wanafanya kazi ambazo ni soft na stress free!
 
Wanaume wa siku hizi wanakunywa viroba sana,lishe duni, matokeo yake mbegu zinakuwa weak, so mbegu za kiume zinakosa kasi ya kutosha zinaishia kufa njiani, mbegu za kike kwa kuwa hutembea taratibu na humudu muda imrefu bila kufa ndio hufanikiwa kulikuta yai la mama
 
kibaiolojio mwanuume anatoa mbegu X na Y mwanamke anatoa X tu, ili kutengeneza mtoto mbegu za mwanaume zinaungana na mwanamke, yaani X na X hapo unapata mtoto wa kike au X na Y hapo unapata mtoto wa kimue.

Life span ya mbegu X ni zaidi ya 72hrs ikisubiri yai la mwanmke na life span ya Y[ambazo hutengeneza mtoto wa kiume ] ni 48hrs kwahio unaweza kuona mbegu ya kike yaani X ina chance kubwa ya kusurvive.

VERY SHALLOW!
Mimi naelewa menstural cycle vizuri.
Naelewa lini mke wangu anaweza kupata mimba.
Danger days ni btn 10th and 18th day.
*10th-13th, sperms can wait until ovulation day 14.
*15th-18th ovules can wait for sperms.
Sasa niambie, how does expiry time come in,
IF YOU DO IT ON THE OVULATION DAY (14th day)?
 
VERY SHALLOW!
Mimi naelewa menstural cycle vizuri.
Naelewa lini mke wangu anaweza kupata mimba.
Danger days ni btn 10th and 18th day.
*10th-13th, sperms can wait until ovulation day 14.
*15th-18th ovules can wait for sperms.
Sasa niambie, how does expiry time come in,
IF YOU DO IT ON THE OVULATION DAY (14th day)?

Nikwambie nini wakati niko shallow? Subri wanaojua au wewe unaojua waambie wengine.
 
Nikwambie nini wakati niko shallow? Subri wanaojua au wewe unaojua waambie wengine.

Umeni missjudge bro, I meant, suppose nigegede on the 14th day(ovulation day), x na y LIFESPAN itakuwa na effect gani katika determination ya me au ke?
Niko curious kujua nielezee maybe I understood the wrong way.
 
Back
Top Bottom