Kisu kimegusa mfupa.... , Nawashangaa wanaomshambulia mleta mada kwani mtu kuwa engineer basi anatengwa na jamii kwa hiyo hawezi jua mambo yanayoendelea mitaani? yeye anaishi wapi? hewani? Si anaishi humu humu duniani na hayo mambo anayoyasema si yapo kweli? ukweli ndo huo wanawake wengi hawapendani kabisa