mnawezana wenyewe aiseeHa ha ha ha mwache aendlee kujifunza sio mbaya sana
Na wewe ndio wale wale tuu...
Mavi na kinyesi yote ni Mavi tuu.
Hahahaaaaaaaa ni kweli kabisa ana tatizo huyuKama wewe ulieandika yote haya ni wa kiume tena ni engineer basi kuna tatizo kidogo.
Ila na ww una shida yako, hebu iweke wazi nasi ndo tukujibu ulichouliza maana mimi ckuelew kabisa au mwenzetu ni half/half??Toeni mapovu weeee....
Mkimaliza mnijibu kwanini hampendani, mna husuda baina yenu, kubyedana midomo kama Nguchiro.
Jaman hapa lazima kuna shida mwanaume kamili na anaejitambua hawez ongea huu ujinga kwanza time hiyo hanaNa wewe ndio wale wale tuu...
Mavi na kinyesi yote ni Mavi tuu.
au mwenzetu ni half/half??