Kwanini wanawake huwa hawapendani??

Kwanini wanawake huwa hawapendani??

Lakini ulichoandika kina Uhalisia Wanawake kwa Wanawake huwa hawapendani. Na huwa hawapendi Mwenzao aendelee.

Wakati wa Uchaguzi Yule mama wa ACT hakupata kura zaidi ya Lakimoja ilihali wapiga kura wengi wa nchi hii ni Wanawake.

Tembea maofisini, Dada aende akaombe kazi halafu amkute Bosi Mwanamke mwenzie hiyo kazi kuja kuipata pana Shughuli.

Nenda Bar na Mke wako uone huduma utakayopewa.

Angalia mitaani, Dada wengi wako radhi watembee umbali mrefu kumfuata fundi nguo wa kiume ili hali kamuacha fundi wa kike nyumba ya pili.

May be kuna ukweli ila mi nikichokishuhudia Kenya wakati ule wa post election violence ya 2008 Kisumu, wanawake wakijaluo waliwaficha wanawake wenzao wa Kikuyu ili mradi tu wasibakwe kwa kweli hii ilionyesha kuwa kina mama wanapendana basi propaganda za maadui labda
 
Sky Eclat
Wazo Langu
Sonia G
Miss Natafuta

Leteni tena vijamaneno vyenu na hapo... Najua mtaishia kubyeda midomo tuu..

Unaongelea uchaguzi?
Ipo siku utasema Waislamu/Wakristo hawapendani.
hivi Lowassa kukosa uRais tutumie hiyo kusema kua walutheri hawapendani?
Au Hashim Rungwe kukosa tuseme waislamu hawapendani?
Hii mifano unayoitoa wapelekee huko mtaani kwenu ongezea iwe namba 4.
Ni mfano wa Kipuuzi.
 
Mkuu nimepata mshangao kwanza user name engineer, sasa hivi katika kipindi cha mpito tunahitaji wasomi kuliko maelezo sasa msomi mwenye collection ya SHILAWADU na pia ni wa kiume kidogo nimeona tatizo.
Kilichomo ndani ya ubongo huwa hakijfichi,
 
Natamani kutoa comment ndeefu ila acha tu niseme kweli wanawake hatupendani kabisaaaaa. sio wa uswahilini wala wa uzunguni.

 
Toeni mapovu weeee...
Mkimaliza mnijibu kwanini hampendani.
Mna husuda baina yenu, kubyedana midomo kama Nguchiro.
IMG-20170412-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom