Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

makolola

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
765
Reaction score
290
Najiuliza kwanini mwanamke akiolewa anaachana na jina la baba yake mzazi na kutumia jina la mme wake kama ubin wake? Nini sababu ya hii maana pia naona iko kwenye tamaduni nyingi ni ipi hasa sababu inayopelekea hivyo?
 
Pia kuna imani fulani ukiolewa unahama na jina pia, nawaona wadada wengi mrs ..... Baba yako vp bibie, Miye sipendi!!
 
Ilikuwa zamani sio leo

Mwezi uliopita le pen wa france baada ya kukorofishana na binti yake akamwambia ‘nakasirika kuona bado unatumia ubini wangu,natamani uolewe ili ubadili ubini'

ni huku tu ambako nyie mnataka tuwe sawa ndio mnafuta huoutamaduni.

BTW huwa haiongezi chochote kwa mwanaume
 
Ni maandiko ya biblia takatifu, ktk kitabu cha nabii isaya ... basi watajikusanya wanawake hata saba wakimwambia mwanaume, basi utuoe tuondokane na aibu nasi TUITWE KWA JINA LAKO.
 
"....Nanyi mmekuwa mwili mmoja....." . Chukulia mfano Wewe unaitwa Bwana makolola, ktk utambulisho ukiwa na Mkeo mtatambulishwa kama Bwana na Bibi makolola; na hata mkeo akiwa pekee yake ataitwa Bibi/Mrs makolola.

Sasa katika mazingira hayo akibaki na ubini wake, yaani jina la baba, atatambulishwa kama Bibi/Mrs (jina la baba yake), haitapendeza na kuleta picha nzuri coz yeye ni mtoto na si mke kwa baba yake.

Jina la baba yake atalitumia mama yake. sijui umenipata?
 
Last edited by a moderator:
"....Nanyi mmekuwa mwili mmoja....." . Chukulia mfano Wewe unaitwa Bwana makolola, ktk utambulisho ukiwa na Mkeo mtatambulishwa kama Bwana na Bibi makolola; na hata mkeo akiwa pekee yake ataitwa Bibi/Mrs makolola.

Sasa katika mazingira hayo akibaki na ubini wake, yaani jina la baba, atatambulishwa kama Bibi/Mrs (jina la baba yake), haitapendeza na kuleta picha nzuri coz yeye ni mtoto na si mke kwa baba yake.

Jina la baba yake atalitumia mama yake. sijui umenipata?
Kwa nini wasijitambulishe kwa jina la mwanamke?maana maaandiko yanasema mwanaume ndiye ataondoka kwa baba na mama yake na kuambatana na mkewe?
 
Mwanaume ndio kiongozi wa familia, ndio kichwa Bible imesema.... mada imeisha. uliza lingine
 
Binafsi Mimi sioni problem. Ni maamuzi tuu ya wawili. Bibi yangu mzaa Baba ametumia Jina mumewe kuwa la Mwisho na LA babu yake mzaa baba kuwa middle name. Na mpaka sasa analo la mumewe hadi sasa. I think wengi wanaamua kufanya hivi for the Love , kumuheshimu mumewe ili nae ajihisi anatambulika na kumiliki Mali ile ( mke) haswa akiwa mke mwema.

Mfano Mimi mwenzangu ameshaongea na Mimi tukifunga ndoa ameomba nitumie last name yake and I am okay with it. Ila naona usumbufu tuu kuja Ku change vyeti and documents.. na hii kwa sababu ya uvivu tuu nothing else.. but otherwise its cool . Wanaume wengi huwa hawasemi tuu ila wanajihisi proud Kuwa anamiliki kitu Fulani ndani himaya yao including names.. na some of them wanafurahi wakiona wanamiliki mke yule .

Kwa maana nafsi zao zinawaambia it is the way that its suppose to be .. Jamani hivi ni vitu vidogo sana Ku solve .but utakuta vinavunja Ndoa hivi hivi. Ndio maana ni vyema to talk kuhusu hili kabla ya kuoana mfikiane. Thanks..
 
Ni kweli hata mm sikuliona hilo kabla, na inaleta contradiction hasa makazini, Vyeti vinasomeka jina la mzazi, kazi unaanza na jina la mzazi, baadae ukiolewa unabadili jina umaitwa la mume, after 2 to 3 years HR akiangalia file lina majina 2 tofauti ndani ya file 1,
 
"....Nanyi mmekuwa mwili mmoja....." . Chukulia mfano Wewe unaitwa Bwana makolola, ktk utambulisho ukiwa na Mkeo mtatambulishwa kama Bwana na Bibi makolola; na hata mkeo akiwa pekee yake ataitwa Bibi/Mrs makolola.

Sasa katika mazingira hayo akibaki na ubini wake, yaani jina la baba, atatambulishwa kama Bibi/Mrs (jina la baba yake), haitapendeza na kuleta picha nzuri coz yeye ni mtoto na si mke kwa baba yake.

Jina la baba yake atalitumia mama yake. sijui umenipata?

Uuuwiii unioee alafu uwe baba angu? mimi nikiitwa kwa jina lako na wanangu wataitwa kwa jina la baba angu? Sitaki hii kitu nasimama na majina ya kwetu mawili na ili lbd ijulikane niko ktk boma lipi baasi jina lka 3 ndio nitaje la uko wenu maana hiu kitu wanaume ndio wanawabdlshaga wake zao ili kumkuza mume na ukoo wake.
 
Last edited by a moderator:
Ukioa tu kwenye cheti cha ndoa wanabadili mapema
 
Hillary clinton. Michelle obama,Annah Mkapa,Tunu pinda, nk walikua wanaitwa zamani ila sasa hawaitwi sio? wanawake wa humu mko desperate sana.

Dear Mbona mgomvi.. aaahhhaaaaaaa... ila sio wote .. ( Ka ukweli kanauma aaaaahhhhaaa ). Nimefurahishwa na hiyo facts ambayo INA exist .. After all mwanaume ni mwanaume tuu hata tujifanye wajuaji .. That's why ameitwa the head of the house .. Why? Because He is the man of the house with rules and highly respect. Kama hakutakiwa kupata yote hayo basi angeitwa Tail but he is the Head .. Thanks..
 
Back
Top Bottom