Hii ni kalibu wote toka enzi za bibi,mama,dada mpaka wake zetu huwa inatoka na nini tofauti na wanaume
kumbe nyie pia chakula. duuuuuuuuuuuuuuh, kwa hiyo mnaliwa?maneno mengine hata sio kabisaChakula gani mkuu!? Hivi vya mchana au kile cha usiku?
Kuzira maana yake ni nini jaman?
Kususa.
Hehehe kama najiona nnavyokataa kula na bega moja napandisha like 'akhuuu!'
Mara nyingi inakuwa dinnerchakula kipi wanazira breakfast lunch or dinner
Wanakuwa wameshiba ndugu yangu,wanapopika unakuta anaonja kisahani kizima hapo akinywa na maji anakuwa tayari ameshiba ila wanakuwa wanataka tention tu ya mwanaume,na ukifuatilia wanasusa nyakati za jioni(dinner)Hii ni kalibu wote toka enzi za bibi,mama,dada mpaka wake zetu huwa inatoka na nini tofauti na wanaume
Mara nyingi inakuwa dinner
Mara nyingi inakuwa dinner
Wanakuwa wameshiba ndugu yangu,wanapopika unakuta anaonja kisahani kizima hapo akinywa na maji anakuwa tayari ameshiba ila wanakuwa wanataka tention tu ya mwanaume,na ukifuatilia wanasusa nyakati za jioni(dinner)
why wasisuse mchana ua asubuhi!
Kwahiyo unakubali kuwa huwa mnataka tension tu ya mwanaume ila kiuhalisia mnakuwa mmeshiba au inakuwa technique ya kutaka kumnyima na kile chakula kitakatifu?muwe mnatusaidia kupika siku mojamoja uone kama tunazira kukaa jikoni siku nzima unakinai chakula ujue
Sasa ndo ususe msosi jamani si utafute kingne cha kukuletea tensionasipotafuta tention kwako akatafute wapi sasa?
Anhaaa hapo nimekuelewa kumbe inakuwa njia ya kutaka kuninyima ile chakula ingineAnazira dinner ili akulaze njaa na wewe. Bembeleza bwana. Acha uvivu. Utakula wa chuya. Ohooo