Kwanini wanawake hupenda kuzira chakula?

Kwanini wanawake hupenda kuzira chakula?

Kwahiyo unakubali kuwa huwa mnataka tension tu ya mwanaume ila kiuhalisia mnakuwa mmeshiba au inakuwa technique ya kutaka kumnyima na kile chakula kitakatifu?

mara nyingine mtu kashiba kweli but kunyimana chakula cha usiku sidhani kama ni kutafuta tension kutakuwa na shida hapo
 
mara nyingine mtu kashiba kweli but kunyimana chakula cha usiku sidhani kama ni kutafuta tension kutakuwa na shida hapo
Lakini kikawaida hata ukishiba kama hamna mikwaruzo na hubby wako si huwa unampa kampani lakin ikitokea kutokuelewana karibuia na muda wa kula ndo unasusa ili kumkomoa
 
ndo njia aloiona sahihi kususa msosi
Kususiwa msosi sipendi....hata kama njaa ilikuwa inakuuma appetite inaisha unageuka kuanza kumbembeleza tena aagr....
mpaka aje arudi kwenye hali yake ya kawaida hata radha ya msosi inakuwa imepungua bora hata unisusie ule msos mwingne unakuwa umenipunguzia kazi nalala tu
 
Lakini kikawaida hata ukishiba kama hamna mikwaruzo na hubby wako si huwa unampa kampani lakin ikitokea kutokuelewana karibuia na muda wa kula ndo unasusa ili kumkomoa

acha kukuza mambo bwana hakunaga kususa akisusa kashiba huyo
 
Kususiwa msosi sipendi....hata kama njaa ilikuwa inakuuma appetite inaisha unageuka kuanza kumbembeleza tena aagr....
mpaka aje arudi kwenye hali yake ya kawaida hata radha ya msosi inakuwa imepungua bora hata unisusie ule msos mwingne unakuwa umenipunguzia kazi nalala tu

hahahahah
 
Back
Top Bottom