Kwanini wanawake hawajiamini katika mapenzi.

Kwanini wanawake hawajiamini katika mapenzi.

Mwanamke mzuri kwa mwanaume ni mama yake tu!!!!!!!!Hizo habari za waganga nawaachia wengine
 
Hapana inatokea, kama unavyoona wimbo fulani huwa unakukumbusha tukio fulani

Mfano mimi kuna wimbo wa TATYANA ALI unaitwa EVERYWHERE kwa kweli huwa unanikumbusha mbali sana

haya bana!! Endelea kufurahia!!
 
haya bana!! Endelea kufurahia!!
Yaani hutonitoka wewe nakuambia tena

Si unaona nimekupa mfano wa kibao cha bibie TATYANA ALI

Halafu kuna kibao kingine cha TATYANA ALI pia kinaitwa IF YOU ONLY KNEW

Nacho kinanipeleka kule kule yaani vibao viwili vinanikumbusha tukio moja
 
Back
Top Bottom