Wakuu ni Baada ya kudate na kibinti cha jirani na home sasa kila siku anataka pesa si chini ya 10000 nikimagine hali ilivyokaza kama kiuno cha fisi nachizi imekuwa kero sana mtu anaona hali halisi lakini anakusanya mapato namna hii sijui la kufanya nisaidieni Idea nichanganye na zangu
Wakuu ni Baada ya kudate na kibinti cha jirani na home sasa kila siku anataka pesa si chini ya 10000 nikimagine hali ilivyokaza kama kiuno cha fisi nachizi imekuwa kero sana mtu anaona hali halisi lakini anakusanya mapato namna hii sijui la kufanya nisaidieni Idea nichanganye na zangu
Jiunge kwenye CHAPUTA,bajeti yako kwa mwezi haitazidi 2,000/= lakini ukitaka mapenzi toka kwa mwanamke lazima ugharamie.
Unalia na 10k? Acha kutuaibisha wanaume au wewe mvulana?
siko kwenye kundi la kulalamika, ukiomba nakupa tu. mambo mengine tunajitakia wenyewe isitoshe jaama anajifanya dangote mtaani kwao, matkeo yake anakuja kulia huku
siko kwenye kundi la kulalamika, ukiomba nakupa tu. mambo mengine tunajitakia wenyewe isitoshe jaama anajifanya dangote mtaani kwao, matkeo yake anakuja kulia huku
siko kwenye kundi la kulalamika, ukiomba nakupa tu. mambo mengine tunajitakia wenyewe isitoshe jaama anajifanya dangote mtaani kwao, matkeo yake anakuja kulia huku