karugila
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 1,275
- 687
kama inavojulikana kuwa mwanamke ni kama kanisa la kristo .na inabidi tuwapende wake zetu kama kanisa .je kwanini sasa wanaume wengine wanaoa zaidi ya mke mmoja??
je wanashindwa kuhimilizi changamoto za ndoa? au ni tamaa za kimwili
Sent using Jamii Forums mobile app
je wanashindwa kuhimilizi changamoto za ndoa? au ni tamaa za kimwili
Sent using Jamii Forums mobile app