Kwanini wanaume wanakuwa wazito kujishusha?

Kwanini wanaume wanakuwa wazito kujishusha?

Tatizo sio kujishusha au sio kwamba hatujui kama tunakosea tatizo namna yakutukosea ndotabu hata leo nimekosana namtu huwezi kunikosoa kwaubabe
 
Jamani hivi ni kwa nini wanaume pindi wanapowakosea wanawake kwenye mahusiano wanakuwa wazito kujishusha? Hii inawaumiza sana wanawake kwani huwapenda wapenzi wao.

Mdada ikimtokea hali hii, je, ajiahushe, akaushe au afanye nini?

Ushauri wenu wana JF.
Okay,okay,
Nitashuka mara moja moja upande kwa juu.
...tunapeleka moto....
 
Kutokana na ukubwa wa majukumu aliyonayo ndani ya familia ni vigumu kujishusha
 
Hakupendi huyo mwenye kukupenda anashuka tu vizuri kwa wepesi.

Lakini inategemea na facts around the case pengine unamuonea hajakosea?!

Usitake kumchomekea, unapaswa kuwa sincere!
 
Jamani hivi ni kwa nini wanaume pindi wanapowakosea wanawake kwenye mahusiano wanakuwa wazito kujishusha? Hii inawaumiza sana wanawake kwani huwapenda wapenzi wao.

Mdada ikimtokea hali hii, je, ajiahushe, akaushe au afanye nini?

Ushauri wenu wana JF.
simple mwanaume ndio hulka yake ni pride yake kama abayo mwanamke aliumbwa kutumia maneno au kuogea sana
pili wanawake ukiwaomba msamaha kila mara mwisho wanakuwa na kadharau fulani trust me na ukiangalia wanaume wagaidi gaidi ndo huwa mademu zao wanawaheshimu sana kuliko hawa weneye itikadi za kizungu sio kwamba hatukosei la ndivo tulivyo
 
Maandishi wa makala,unataka tujishushe[emoji15][emoji15][emoji15] kwani GOD alianza kuwaumba nyie au sisi?,na wewe tukikuuliza mliongea kitu gani na nyoka pale bustani ya EDEN utasema? Halafu kwa Nini mna uhusiano wa karibu Sana na fedha [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Jamani hivi ni kwa nini wanaume pindi wanapowakosea wanawake kwenye mahusiano wanakuwa wazito kujishusha? Hii inawaumiza sana wanawake kwani huwapenda wapenzi wao.

Mdada ikimtokea hali hii, je, ajiahushe, akaushe au afanye nini?

Ushauri wenu wana JF.
Wanaume wapi wangapi na wa wapi na katika nini na kwanini wajishushe ili iweje kama itakuwa?
 
Tamthilia za kifilipino zimeharibu ubongo wa wanawake wengi wa kisasa.
 
Back
Top Bottom