moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,287
Wanaume wengi walio oa wanapenda kuficha simu zao wawapo na wake zao nyumbani au popote wanapokuwa pamoja.
Wengi hudiriki hata kwenda nayo bafuni, wengine saa ya kulala hutoa sauti na kizificha.
Simu ikiita akiwa mbali nayo utaona speed atayotoka nayo kuikimbilia
Najiuliza hii ni kwanini ? Kama ni mchepuko kwann usiuambie usikupigie simu usiku?
Wengi hudiriki hata kwenda nayo bafuni, wengine saa ya kulala hutoa sauti na kizificha.
Simu ikiita akiwa mbali nayo utaona speed atayotoka nayo kuikimbilia
Najiuliza hii ni kwanini ? Kama ni mchepuko kwann usiuambie usikupigie simu usiku?