jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,756
- 16,375
PointWanawake wanapenda control.
Akizijua pesa zako lazima atashika usukani na huwezi zuia sababu papuchi yake ni tamu sana.
Sasa utajikuta tu hata ndugu hutasaidia, rafiki hutakopesha bila kuamuandikia yeye proposal yenye sababu za msingi ni kwann unataka kufanya unalofanya.
Akijiliza liza akakukatikia halafu akaanza kuzipangia matumizi mtajikuta tu nyie ni mwili mmoja.
Afahamu 75% inatosha hii 25% ni kwa ajili yangu na ndugu zangu pengine na kusaidiana na marafiki wakipata tatizo.