BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Kwa sababu ya ujinga na ubinafsi tu.....
Mnautani nyie, nyie si ndo mnalalamika mitetewa na wana harakati kudai haki ya 50/50?Ila sheria ya ndoa ndo inasema hiki ulichoandika,
Haijalishi kipato cha mwanamke, ni jukumu la mwanaume kumlisha mkewe.
Tumeumbwa mateso.
Mkuu mimi na hustle mzee ila kwenye developments za familia lazma mwanamke nae mchango wake uonekane! One of my Qualities za mwanamke sitaki mwanamke mchoyo wala tegemezi!Hahah, hili la kuchangia nadhani litakupa ugumu zaidi kwenye suala la wewe kuwa KICHWA,
Vipi ni mbinu unayoitumia au unatarajia kuja kutumia?
Mimi pia ni mwanaume na nimeoa mkuu, umeni quote vibaya au?Mnautani nyie, nyie si ndo mnalalamika mitetewa na wana harakati kudai haki ya 50/50?
Hamkujua kua hiyo 50/50 inampa immunity mwanaume kua asionekane yeye ndio tegemezi?
Nilijua tayar upo ndoani unaitumia hii mbinu, nilitaka utupe experience kwenye kipengele cha wewe kusimama kama KICHWA.Mkuu mimi na hustle mzee ila kwenye developments za familia lazma mwanamke nae mchango wake uonekane! One of my Qualities za mwanamke sitaki mwanamke mchoyo wala tegemezi!
Mimi sitaoa matako wala sura nzuri focus ni brain na attitude ya mwanamke mwenyewe na ambitions! Nyie mnaooa wanawake wa kufuga ili muwapelekeshe oeni tu!
Hamchelewi kudai 50/50.
Wakati nipo dukani Kuna mzee alikuja na mkewe kununua vitu.
Yule mzee aliingia dukani akamuacha mkewe nje.
Akaanza kutoa hela kwenye bukta yake ya ndani.akaniambia.
"Mwanamke usimuoneshe hela"
hii kanuni naitumia mpaka leo.
Mwanamke lazma ukae nae kabla hujamuoa na wala asijue intentions zako kama ni kumuoa! Tafteni wanawake sio wasichana...Hii namaanisha wanawake ambao wako aged >=25!Aiseee wanawake ni ma pretenders sana atakuactia bonge la picha ukahisi huyu mwenyewe ngoja aingie ndoani sasa rangi zote za rainbow zinakuwa kwako.
Hao wanawake wenye akili za maisha ni wachache sana.
Mkuu mie sijaenda madhabauni tu ila practice ya ndoa nilishafanya na nina experience na hilo so nikioa nahalalisha na najua nini naenda kufanya! Siendi kujifunza kuishi na mwanamke😅Nilijua tayar upo ndoani unaitumia hii mbinu, nilitaka utupe experience kwenye kipengele cha wewe kusimama kama KICHWA.
Hii sio kweli, hakuna mwanaume anayependa familia iteseke baada ya yeye kufariki! Tutafanya kwa siri lakini kila rekodi ipo, ndio maana wengine hushangaa sana kukuta makabrasha ya nyaraka makabatini yana vitu visihamishika na namna vilivyolindwa na kupangwa kisheria.
Wakuda wanawaza sisi tukifa tuuu....kufeni nyie kwanzaWanaume wasiojielewa ndio huficha mambo Matokeo Yao hufa ghafla na kuacha familia ikiteseka, Sasa unaishije na mtu usiye mwamini na hamshirikishani mambo yenu, wanaume oeni wanawake mnaoendana nao vision
Sawa sawa mkuu, itakubidi upate muda haswaa kumpata wa aina hiyoMkuu mie sijaenda madhabauni tu ila practice ya ndoa nilishafanya na nina experience na hilo so nikioa nahalalisha na najua nini naenda kufanya! Siendi kujifunza kuishi na mwanamke
Nobody fakes life kama a broke woman 😅 huyo hata awe eneo gani lazma atataka ajitutumue aonekane anazo! Sijui hii ni kwa faida ya nani😅Sema watu wengi jinsia zote hu fake sana life
Hahahah sasa kuoa sini process mkuu! Au kwako ni kama kwenda ku shop subwoofer kariakoo! Lazma utenge muda kufanya assessment ya wanawake mkuu na variants zao!Sawa sawa mkuu, itakubidi upate muda haswaa kumpata wa aina hiyo
Sio supportive kivipi? Yani mwanaume ambaye umekuwa nae mpaka mkaoana anakuwaje sio supportive au unakuwa hujui kuwa sio supportive?Dah kazi kweli kweli mie sivumilii upumbavu na shida za mtu asiye jielewa na asiye supportive maana kuendelea kubaki naye ni sawa kuwa na sindano mwilini inakuchoma tu, Sasa partner wako sio supportive anawaza ujinga na vitu ambavyo hafikirii kesho ya familia huyo wa nini sasa, dah Mimi siogopi kuanza
Kuna wakati wanaume tusisubiri Hadi Mambo yatuharibikie kabisa ndio tuanze kulia Lia ....kuwa na mwanamke sio lazima , ukisha jiona kiuchumi Kuna Mambo yanatakiwa yapunguzwe ili uweze kuwa stable Basi inatakiwa ufanye hivyo.Mwanangu umeuwa! Bonge moja la point kwa siku ya leo! Ngoja niifanyie lamination kabisa hii point!
Nina mshikaji wangu kayumba kiuchumi kidogo,siku hizi mke wake hamuwekei mafuta mengi kwenye gari,anapiga hesabu kabisa za mwezi kiasi gani,ndiyo anaweka,sasa ndugu zetu si unajua misele yao,anaweza endesha gari kutoka Bunju kwenda kigamboni kusuka nywele za 30,000! Halafu anatumia mafuta zaidi ya hiyo pesa!
Basi siku hizi kapata jamaa kampa kadi kabisa ya total yenye salio la 2M kwa mwezi! Ana Harrier tako la nyani! Msela anapitia wakati mugumu sana, mwanamke kawa busy kama yeye ndiyo ADC wa Samia!
Wewe umeshirikisha Nini na ukifa utawaachia Nini watoto na baba yao......?Wanaume wasiojielewa ndio huficha mambo Matokeo Yao hufa ghafla na kuacha familia ikiteseka, Sasa unaishije na mtu usiye mwamini na hamshirikishani mambo yenu, wanaume oeni wanawake mnaoendana nao vision
We acha tu, yaani utasikia ukifa hivi , sijui vile! Utafikiri ameshaongea na MUNGU kuwa we utaanza.wakuda wanawaza sisi tukifa tuuu....kufeni nyie kwanza
Wanaume wasiojielewa ndio huficha mambo Matokeo Yao hufa ghafla na kuacha familia ikiteseka, Sasa unaishije na mtu usiye mwamini na hamshirikishani mambo yenu, wanaume oeni wanawake mnaoendana nao vision
Hamchelewi kudai 50/50.
Wakati nipo dukani Kuna mzee alikuja na mkewe kununua vitu.
Yule mzee aliingia dukani akamuacha mkewe nje.
Akaanza kutoa hela kwenye bukta yake ya ndani.akaniambia.
"Mwanamke usimuoneshe hela"
hii kanuni naitumia mpaka leo.