Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,285
- 1,753
Ndo hapo sasa utulie miezi 9 na akili itakukaa sawa.Siunajua tu ile haraka haraka for the first time ikawa mimba
Ndo hapo sasa utulie miezi 9 na akili itakukaa sawa.Siunajua tu ile haraka haraka for the first time ikawa mimba
FOr sureNa naendelea kukupenda ntaacha siku bashite akiwa raisi
Sio mie bhanaNdo hapo sasa utulie miezi 9 na akili itakukaa sawa.
Umeenda mbali.Ingependeza kama kichwa cha habari ungeandika "Kwanini wanaume ninaokutana nao wanaishia kunipa mimba na kunikimbia" Maana ulivyoandika kichwa cha habari kimekaa ni kama unatugusa wote wakati wengine hata hatujuani na wewe.
Anyways shida haipo kwa hao wanaume ipo kwako wewe maana hujiulizi kwanini kuna wenzako wanaolewa na wanazaa vizuri na wanaume zao wanalea na kutunza familia zao.
Ni kwanini wewe ukipigwa mimba unakimbiwa?
Mtoto akizaliwa huyo bwana atarudi tu mshauri asitoe na amwombee baba mtoto asikufe now anauwoga tu wa kuitwa babaSina mimba just a question kadada kadogo kazuri kamezalishwa
Sana wanabambikap vititi hata 16 years hawanaMnabambika sana watu mimba.
Huyo dada kapata msichana mzuri sanaMtoto akizaliwa huyo bwana atarudi tu mshauri asitoe na amwombee baba mtoto asikufe now anauwoga tu wa kuitwa baba
Mungu amtangulie kwenye malezi hope kajifunza kwa siku zijazoHuyo dada kapata msichana mzuri sana
Hata wake za watu waliopo ndoani wanabambika sana waume zao mimba, ndoa nyingi tu watu wanalea watoto si wao. Acheni hizo tabiaSana wanabambikap vititi hata 16 years hawana
Waambie au tuwwfungulie thread si ndio nipe contentsHata wake za watu waliopo ndoani wanabambika sana waume zao mimba, ndoa nyingi tu watu wanalea watoto si wao. Acheni hizo tabia
Wewe nyau nyau mweusi jina jingine kunguruu mla watu niachee hujielewiDish...
Fungua uzi kuwaambia wanawake waache kubambika waume zao mimba.Waambie au tuwwfungulie thread si ndio nipe contents
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππMnasex wote , mnaambiana sex ikileta shida mpo wote ngoja upate mimba hadi mtu anahama hadi mtaa na unamblock mtu.
Why mpo hivi??
Hivi tukiwa serious ndoa yako ipo inapumuliq gesi saizi hadi unasubiria divorce ili uoe tena mama kaenda nje kwa mzunguuππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ