Kwanini wanaume wa nakufa mapema kuliko wanawake

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Aug 10, 2021
2,035
2,682
ukienda vijijini ndo utashangaa hakuna mababu kama zamani,kijana wa kiume unapambana kumlidhisha mwanamke,unatafuta pesa sana ili mke wako asiliwe na wengine,kumbe unajiuwa kwa stress,unamjazia nguo begi nzima ili apendeze wewe mwanaume unashindia moja,akitoka nj'ee anakutana na wajanja wanakula vyao.unamnunulia gari anatembea na boda boda:p
 
kama unatafuta pesa za kumnunulia mkeo nguo, gari, matumizi ili "asiliwe" utakufa mapema mno.
huyo ni binadamu mwenzako, hachungiki. kama mna interest nyingi zinazofanana na mnaelewana endelea kuishi nae, usitafute anayofanya wakati haupo. stress ni state of mind unayojitengenezea mwenyewe na itakuua
 
Sababu zipo nyingi ila nafikiri sababu kuu ni kwamba mwanaume muhangaikaji mkuu wa familia. Hivyo inampelekea kua na interaction kubwa kati yake na mazingira yote hatarishi, hivyo maradhi na ajali vinakua havikwepeki kwa mwanaume. Mfano nenda k/koo jioni 87% ya abiria ni wanaume nenda migodini na sehemu zote zenye mazingira hatarishi 90% ni wanaume
 
After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
 
After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
Siji kuoa
 
After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
Iwekewe lamination please, ila si wanawake wote wapo hivyo. Wengi wa hao ni Wacha--g*a, sasa wewe umejumuisha wote.
 
After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
Mmmmmmh! Hatari, kwa hiyo hawezi kupata hiyo sumu kwingine isipokuwa kwa vibibi tu? Kuna nini nyuma ya pazia kwa hivi vibibi??
 
After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote Bali baadhi tu)
APROX. HAO WATOTO 4 NA BIASHARA NZURI KIPINDI HCHO ATAKUWA NA UMRI GANI NA YY?
 
After they success in bulling you,next step is killing you.but how? still a secrets,
Nature inaonyesha mwanamke ukishapata nyumba,gari zuri,biashara za uhakika zimefunguliwa pia akishapata watoto 3 au 4, HUWA HAKUITAJI TENA WEWE mwili wake huitaji wanaume wengine kabisa,ambao wanahaiba ya starehe na kujirusha,we we hapo nyumbani utakua unambore tu.hufanya kila aina ya hila hasa hapa uanza kuwa karibu na vibibi vizee ili vimpe slow killing poison,hupewi sumu ya kufa kwa ghafla no,its about slow killing poison (suala hili sio la wanawake wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom