APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,682
ukienda vijijini ndo utashangaa hakuna mababu kama zamani,kijana wa kiume unapambana kumlidhisha mwanamke,unatafuta pesa sana ili mke wako asiliwe na wengine,kumbe unajiuwa kwa stress,unamjazia nguo begi nzima ili apendeze wewe mwanaume unashindia moja,akitoka nj'ee anakutana na wajanja wanakula vyao.unamnunulia gari anatembea na boda boda