Kwanini wanaume mnapenda kucheza nusu uwanja?

kama timu pinzani haionyeshi upinzani wake ni lazima mechi itakuwa ni ya upande mmoja.
 
football-match_3858.jpg
.

1.HIVI KWANINI WANAUME WENGI HAWATAKI KUCHEZA UWANJA WOTE??.

2.WANACHEZA KARIBU NA GOLI TUU WAKATI UWANJA WOTE NI WAO.

3. RAFU?? OFFSIDE??, KUKABA PENATI?? MMMM. REFA WAPI??

4. WATAJIFANYA KUCHEZA MBALI KIDOGO YA GOLI LAKINI KUZUGA TUU DAKIKA MBILI WAMESHA RUDI TENA.

5. FULL KUKABA HAKUNA PASS WALA NINI??

.

Inategemea na mechi yenyewe, kama ni knockout stage/1/4 or 1/2 au finale yenyewe lazima ushambulie haraka upate goli la kuongoza ili uitoe timu pinzani katika mchezo(maana ushindi ni lazima ktk mechi hizi), halafu ndio unaanza kuucheza mpira uwanja mzima, kama unacheza ligi tena ni ya mzunguko, hutakiwi kuonyesha uwezo wa kufunga pekee bali na kuutawala uwanja kwa kuuchezea mpira kiufundi na umahiri mkubwa kukonga nyoyo za wapizani wako pia .
NB- soka si mziki kwamba umahiri unauonyesha kwa kutawala jukwaa ama uwanja, lengo ni timu kutoka na ushindi, sas kama yako haijui kucheza hata kama itatumia uwanja mzima na majukwaa ya mashabiki bila goli hiyo si timu , utakuwa kama wapemba( kufungwa twafungwa lakini chenga twawala)
nimependa jinsi mada ilivyowasilishwa (thenk yu veri mach)
 
Mpira ni magori, ndani ya kumi na nane ni rahisi kufunga gori.

mams - habari ya Musoma?

Wa-Zanzibari walikuwa na msemo .."chenga twala..." Ball possesion haina maana kama hamna magoli ... Ndiyo maana hadi ushinde mechi lazima ujitahidi kuchezea kwenye 18 ya mpinzani wako muda mwingi!
 
Labda ni gombania goli! yani goli ni moja, na wote mnagombania kufunga..so haijalishi sana nani kafunga kwanza! Ila raha ni mfunge wote, ile mmewala chenga weee, hadi kipa..then mnafunga! Watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

afu kuna wakati tunaongeza manjonjo, basi mnaform katimu kenu mnapigiana pasi kumi (lakini yote kumi, hamchezi mbali sana na goli), so mkifika 10, ni goli kwa mpinzani.

ila huu mpira huu..mh!
 
kama unajua kucheza na ufundi mwingi ni pale golini na mashabiki ndipo wanafurahia kuona jinsi mpira unavyo ingia golini , goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo hatimaye mpira unaanza kati
 
Na kwanini goli likishataka kufungu wachezaji hua wanakosa muelekeo wana changanyikiwa kabisa, au ndo kelele za wa shabiki zinawazinguaga.
 
michelle mechi inapokorea watu wote hukimbilia golini na hapo ndipo ugomvi na utamu vinapozidi. most of the mens are strugling for goal.
 
na kwanini goli likishataka kufungu wachezaji hua wanakosa muelekeo wana changanyikiwa kabisa, au ndo kelele za wa shabiki zinawazinguaga.

wanakosa muelekeo sababu wanatumia nguvu nyingi kufunga, hivyo ni lazima wavute pumzi kutafuta jingine
 
kwanini wacheze uwanja mzima wenye magoli mawili wnataka goli moja tu kama nyie mnataka mawili yote mfunge huku na huko basi shauri zenu mtakoma na kuchoka mtafia uwanjani bure
 
mams - habari ya Musoma?

Wa-Zanzibari walikuwa na msemo .."chenga twala..." Ball possesion haina maana kama hamna magoli ... Ndiyo maana hadi ushinde mechi lazima ujitahidi kuchezea kwenye 18 ya mpinzani wako muda mwingi!

unanikumbusha miaka ya mwanzoni 1990 matangazo ya mpira RTD chini ya Udhamini mnono wa Moproco Oil.... mtangazaji Mikidad Mahamud
" ...anakwenda na mpira....anakwenda na mpira....anakwenda na mpira... lalallalalalalalal...gooooooo hapana ni wakurusha.." teh teh
 
unanikumbusha miaka ya mwanzoni 1990 matangazo ya mpira RTD chini ya Udhamini mnono wa Moproco Oil.... mtangazaji Mikidad Mahamud
" ...anakwenda na mpira....anakwenda na mpira....anakwenda na mpira... lalallalalalalalal...gooooooo hapana ni wakurusha.." teh teh

Ha ha ha ha... Utasikia anapiga shuti la chini chini pale... Gorikipa anaruka juu na kuu daka mpira ule bila wasi wasi.....
 
football-match_3858.jpg
.

1.HIVI KWANINI WANAUME WENGI HAWATAKI KUCHEZA UWANJA WOTE??.

2.WANACHEZA KARIBU NA GOLI TUU WAKATI UWANJA WOTE NI WAO.

3. RAFU?? OFFSIDE??, KUKABA PENATI?? MMMM. REFA WAPI??

4. WATAJIFANYA KUCHEZA MBALI KIDOGO YA GOLI LAKINI KUZUGA TUU DAKIKA MBILI WAMESHA RUDI TENA.

5. FULL KUKABA HAKUNA PASS WALA NINI??

.
wengine robo uwanja tu, penaltiiiiiiiiiies!
 
Back
Top Bottom