Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,985
- 69,372
Huo upumbavu ndio maana
ahaha umenichekeshaNoma mkuu sehemu yoyote kivip sasa
Kuingza kdole kidogo tu, je?Me mke wangu ruksa Kushika sehemu yoyote ya.mwili yangu na ni haki yake kama mimi nilivo na haki ya kutouch mwili wake sehemu yoyote
Anatamani kuguswa nyuma,ulivyoandika unaonyesha cku 1 utaguswa matakao
Naweza kukuingizia kidole hakuna tatizoKuingza kdole kidogo tu, je?
Shaury zako uache michezo yko iyo wengne tomboyNaweza kukuingizia kidole hakuna tatizo
Aanze yeye alieshikwaHili swali wajibu waliowahi kuguswa na kushikwa...
Kwa hiyo kuna lugha ya kikristo na kiuslam...? Sema kiarabu ni lugha Ila inatumika ktk uislam kama ambavyo kiingereza kinatumika ktk ukristo!!Kiarabu ni lugha ya kiislam,,usipayukwe,,Wewe mwenyewe waonyesha mlokole,,hujui lolote khs kiarabu na uislamu
Nyinyi wa kudandiadandia tushamizoea.....fikra zako potofu na chuki juu ya uislam ndo asili yakoKwa hiyo kuna lugha ya kikristo na kiuslam...? Sema kiarabu ni lugha Ila inatumika ktk uislam kama ambavyo kiingereza kinatumika ktk ukristo!!
Tatizo huelewi chochote Ila umekaririshwa ajabu zaid umeenda chuo ukapata degree ...chuo gani Madrasa
kuguswa makalio au 0713 fafanuaNatumaini muwazima wa afya njema,
Ni katika suala ambalo mwanamume analichukia kupita maelezo.
Mwanamume ukimgusa ama kumshika sehemu ya makalio hakika hamtoelewana kabisa.
Hata kama ni wanandoa, mke akitaka kukugusa nyuma mtagombana aisee.
Lakini mwanamke yeye akishikwa wala hamna tatizo lolote lile, anajiskia faraja tu.
Mimi mwenyewe binafsi sipendi kabisa, hata mke hawezi nigusa.
Sasa hili tatizo chanzo chake ninini , na nikwanini imetokea tunachukia kuguswa hiyo sehemu.