mmmmh dalili za kishoga izoLaana iyo
Tafadhali usiingize masuala ya dini,,,Sunna umemaanisha dini ya kiislam,,,usitangazie vitu ambavyo huna uhakika navyo na kuchafua dini ya kiislamNasikia wengine huwa wanachomekwa hadi kidole na wanawake.Wanaita suna wakati wa kufanya mapenzi.Huu si mwanzo wa ushwaini huu
Hapana mkuu suna ni neno la kiarabu na si la kiislamu.Usinielewe vibayaTafadhali usiingize masuala ya dini,,,Sunna umemaanisha dini ya kiislam,,,usitangazie vitu ambavyo huna uhakika navyo na kuchafua dini ya kiislam
Kwani mkeo akikushika utadhurika nini??Natumaini muwazima wa afya njema,
Ni katika suala ambalo mwanamume analichukia kupita maelezo.
Mwanamume ukimgusa ama kumshika sehemu ya makalio hakika hamtoelewana kabisa.
Hata kama ni wanandoa, mke akitaka kukugusa nyuma mtagombana aisee.
Lakini mwanamke yeye akishikwa wala hamna tatizo lolote lile, anajiskia faraja tu.
Mimi mwenyewe binafsi sipendi kabisa, hata mke hawezi nigusa.
Sasa hili tatizo chanzo chake ninini , na nikwanini imetokea tunachukia kuguswa hiyo sehemu.
Toa maana ya hilo neno. Ni vema ukawa na ufahamu wa kutosha juu ya jambo fulani kabla ya kuliandika au kutamka.Hapana mkuu suna ni neno la kiarabu na si la kiislamu.Usinielewe vibaya
Haifai kivipi??hebu tueleweshe vzr na utuambie effects zakeHaifai
Neno Sunna asili yake liko kwny uislam na linalenga tabia za Mtume Muhammad S.A.W,,kwahiyo ujue ili next time usilitamke kwny upuuziHapana mkuu suna ni neno la kiarabu na si la kiislamu.Usinielewe vibaya
ulivoshtukasehemu yoyote??????????Angalia bro
Noma mkuu sehemu yoyote kivip sasaulivoshtuka
acha kupotosha hilo ni neno la kiarabu hata kama linatumika kulenga tabia za mtume lkn ni lugha kama zilivyo lugha zingine!!Neno Sunna asili yake liko kwny uislam na linalenga tabia za Mtume Muhammad S.A.W,,kwahiyo ujue ili next time usilitamke kwny upuuzi
Kuwa makini bro.Me mke wangu ruksa Kushika sehemu yoyote ya.mwili yangu na ni haki yake kama mimi nilivo na haki ya kutouch mwili wake sehemu yoyote
Kiarabu ni lugha ya kiislam,,usipayukwe,,Wewe mwenyewe waonyesha mlokole,,hujui lolote khs kiarabu na uislamuacha kupotosha hilo ni neno la kiarabu hata kama linatumika kulenga tabia za mtume lkn ni lugha kama zilivyo lugha zingine!!
Hakuna lugha ya kiislam duniani ndg