yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Utakuta mwanamme ana mke na watoto,hao watoto mkeo ni mama yao wa kambo, na huyo mke anawanyanyasa kishenz hao watoto,lakni wanaume tunauchuna kama hatuoni vile.hadi hao watt wanapata madhara kimasha au kisaikology nawengine wanageuka chkoraa, reseach yangu ndogo inaonesha asilimia 90 ya wananume hatusolve ishu kama hizo,wanaume tuwe macho tutenganishe kati ya mapenzi na future za watoto.nampenda waifu wangu lakini OLE WAKE ANYANYASE WATOTO KWA KISINGIZIO ETI SIO WAKE, ATAKOMA!